Matumizi sahihi ya dawa ni yapi?
Hili ni Swali ambalo wafwatiliaji wengi wa afyaclass wamekuwa wakituuliza,na wengine huchanganyikiwa zaidi pale ambapo wanaambiwa;
Tumia Dawa,asubuh,mchana na Jion,
Tumia Dawa Asubuh na Jion
Tumia Dawa kutwa mara 3 n.k...
Haya ni maneno ambayo hutumika sana kwenye Dawa, Lakini je unaelewa maana yake?
Fahamu Matumizi Sahihi ya Dawa
Muda Sahihi wa kutumia Dawa ni kama ifuatavyo;
1.Ukiambiwa Kutwa mara 3
Ni kila baada ya Saa 8 unatumia dawa
2.Kutwa mara 2 ni kila baada ya Saa 12 unatumia dawa
3. Na kutwa mara 1 unatumia kila baada ya Saa 24.
...See more




Post a Comment
Related Discussions...