Matumizi sahihi ya dawa ni yapi?

Hili ni Swali ambalo wafwatiliaji wengi wa afyaclass wamekuwa wakituuliza,na wengine huchanganyikiwa zaidi pale ambapo wanaambiwa;

Tumia Dawa,asubuh,mchana na Jion,

Tumia Dawa Asubuh na Jion

Tumia Dawa kutwa mara 3 n.k...

Haya ni maneno ambayo hutumika sana kwenye Dawa, Lakini je unaelewa maana yake?

Fahamu Matumizi Sahihi ya Dawa

Muda Sahihi wa kutumia Dawa ni kama ifuatavyo;

1.Ukiambiwa Kutwa mara 3
Ni kila baada ya Saa 8 unatumia dawa

2.Kutwa mara 2 ni kila baada ya Saa 12 unatumia dawa

3. Na kutwa mara 1 unatumia kila baada ya Saa 24.

...See more

DISCUSSIONS BOX(MAONI)|REPLY

Related Discussions...