Idadi ya waliokufa katika mafuriko Indonesia yafika zaidi ya 1000
Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 1,000 nchini Indonesia. Haya yamesemwa leo na maafisa wa uokoaji nchini humo. Mafuriko makubwa katika eneo la Pidie J…