DAR ES SALAAM;RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kufuatia ajali iliyotokea jana Same mkoani Kilimanjaro, huku akiwataka madereva waendelee kuzingatia kwa umakini mkubwa sheria za usalama barabarani. "Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa…
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin