Shirika la Afya Duniani (WHO) kupitia Wizara ya Afya limekabidhi vifaa vya afya vya kuimarisha tiba ya magonjwa ya mlipuko katika wilaya za Biharamulo na Muleba mkoani Kagera vyenye thamani ya Shilingi Milioni 112 ikiwa ni s muendelezo wa kupambana na magonjw…
MAKALA ZA HIVI PUNDEZaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya, wengi miongoni mwao ni wanaume. Ripoti mpya kutoka kwa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaonyesha kwamba vifo milioni 2.6 kila mwaka vilitokana na unywaji pombe, ambayo ni a…
MAKALA ZA HIVI PUNDEHii ni Nchi ya 51 kutambuliwa na WHO kwa kutokomeza ugonjwa huu wa kitropiki uliosahaulika, Shirika la Afya Duniani (WHO) linaipongeza Chad kwa kuondoa aina ya gambinse ya trypanosomiasis kwa binadamu, pia inajulikana kama ugonjwa wa kulala yaani sleeping s…
MAKALA ZA HIVI PUNDEJe wewe ni mtu ambaye unafanya mazoezi? Kama la, ni vema ufahamu kuwa wewe ni sehemu ya watu bilioni 1.8 duniani kote ambao wako hatarini kupata magonjwa kwa sababu tu ya kutofanya mazoezi. Shirika la Afya ulimwenguni(WHO) kupitia taarifa yake iliyotolewa le…
MAKALA ZA HIVI PUNDEHii ni notisi ya kwanza rasmi iliyotolewa na WHO baada ya kuthibitisha baadhi ya ripoti hizo. Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari WHO imeeleza kuwa tahadhari hiyo ni kwa ajili ya makundi matatu ya bidhaa ya Semiglutide hususan kwa chapa ya Ozempic a…
MAKALA ZA HIVI PUNDEFaida ambazo huzijui Ukifanya mazoezi kila Siku Chini ya mwamvuli wa Wizara ya Afya, mtu ni Afya, mambo lukuki yalizungumzwa na wataalam wa afya. Mwanaspoti Dokta inaungana na wataalamu hao kwa kutoa ufahamu wa umuhimu wa mazoezi. Mazoezi ni njia rahisi na in…
MAKALA ZA HIVI PUNDEInakadiriwa kuwa wasichana milioni 4.3 walikuwa hatarini kukabiliwa na ukeketaji mwaka 2023. Utafiti huo uliohusisha taarifa zilisowasilishwa na nchi pamoja na asasi za kiraia umebainisha kuwa ingawa mataifa mengi yameongeza juhudi za kutokomeza ukeketaji lak…
MAKALA ZA HIVI PUNDE#PICHA:Mama na bintiye wanapokea huduma katika Hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Gaza mnamo Aprili 2024. Huku mashambulizi ya mabomu yanayofanywa na jeshi la Israel yakiendelea usiku kucha katika Ukanda wa Gaza, pamoja na uvamizi wa ardhini na mapigano m…
MAKALA ZA HIVI PUNDEWHO yatoa orodha mpya ya bakteria sugu dhidi ya dawa Shirika la Afya Duniani (WHO) leo limetoa Orodha mpya ya inayojumuisha familia 15 za bakteria zenye usugu dhidi ya viuavijiumbe maradhi au antibiotics. Orodha hiyo inatoa mwongozo kuhusu maendeleo ya matiba…
MAKALA ZA HIVI PUNDEWHO:Niger kukabiliwa na ongezeko kubwa la homa ya uti wa mgongo au meningitis Niger ambayo mwaka huu inakabiliwa na ongezeko la asilimia 50 la wagonjwa wa homa ya uti wa mgongo au meningitis ikilinganishwa na mwaka jana, kwa mujibu wa takwimu za shirika la a…
MAKALA ZA HIVI PUNDEWHO Ripoti mpya: kuna uhusiano wa COVID-19 na unene au utipwatipwa kwa Watoto Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la afya la duniani WHO imesema kuna uhusiano baina ya COVID-19 na Watoto kukabiliwa na changamoto ya utipwatipwa au obesity barani Ulaya. Rip…
MAKALA ZA HIVI PUNDEUingereza yaongoza matumizi ya Pombe kwa Watoto. Theluthi moja ya watoto wenye umri wa miaka 11 na zaidi ya nusu ya watoto wa umri wa miaka 13 nchini Uingereza wamekunywa pombe, na kuifanya nchi hiyo kuongoza kati ya nchi 44 zilizochunguzwa katika ripoti ya w…
MAKALA ZA HIVI PUNDESerikali kuanzisha taasisi upasuaji ubongo Wizara ya Afya imedhamiria kuanzisha taasisi mahususi itakayoshughulikia masuala ya upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu ili kuboresha huduma hizo za ubingwa na kutoa katika Taasisi ya Mifupa Ubongo (MOI) ambapo i…
MAKALA ZA HIVI PUNDENchi zinazokabiliwa Zaidi na Vifo na milipuko ya ugonjwa wa Malaria kama vile Uganda, zimefaulu angalau kwa kiwango fulani. Wakati ulimwengu ukiadhimisha siku ya kupambana na ugonjwa wa Malaria Tarehe 22.04.2024. juhudi za mataifa yanayokumbwa zaidi na vifo n…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMatumizi makubwa ya dawa za Antibiotics kipindi cha COVID-19,hatari ya kuongeza Usugu. Ushahidi mpya uliotolewa na shirika la afya ulimwenguni, WHO unaonesha kuwa wakati wa janga la COVID-19 kulikuweko na matumizi yasiyo ya lazima na ya kupita kiasi ya viuavi…
MAKALA ZA HIVI PUNDELEO ni Siku ya Malaria Duniani ambayo imekuwa ikiadhimishwa kila mwaka tangu ilipoanzishwa na nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 2007 wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Afya. Lengo la kuadhimisha siku hii ni kuweka msisitizo katika mapamban…
MAKALA ZA HIVI PUNDEWiki ya Kimataifa ya Chanjo yaanza leo 24 hadi 30 Aprili Wiki ya Kimataifa ya Chanjo ambayo huadhimishwa katika kila wiki ya mwisho ya mwezi Aprili, inalenga kuangazia hatua za pamoja zinazohitajika na kuhimiza matumizi ya chanjo kuwalinda watu wa rika zote d…
MAKALA ZA HIVI PUNDEWatoto wa kike milioni 5 nchini Tanzania kupatiwa chanjo dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi- WHO #PICHA: Uzinduzi wa kampeni ya siku 5 ya kitaifa ya chanjo dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi nchini Tanzania uliambatana na wanawake na wanaume kubeba maba…
MAKALA ZA HIVI PUNDEWHO yaitangaza Cape Verde kutokomeza Malaria Shirika la afya ulimwenguni WHO, limeitangaza Cape Verde kuwa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza ugonjwa wa Malaria, wakati ambapo ugonjwa huo bado unaendelea kuwaua maelfu ya watu barani humo. Mkurugenzi wa shi…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKwa Mujibu wa Takwimu za Shirika la Afya Duniani(WHO; Maambukizi ya homa ya ini yanasababisha vifo vya watu 3500 kila siku. Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ya mwaka 2024 kuhusu hali ya Ugonjwa wa homa ya Ini Duniani yaani ” World Health Organization…
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin