Vifaa vya afya vya kuimarisha tiba ya magonjwa ya mlipuko-WHO

Shirika la Afya Duniani (WHO) kupitia Wizara ya Afya limekabidhi vifaa vya afya vya kuimarisha tiba ya magonjwa ya mlipuko katika wilaya za Biharamulo na Muleba mkoani Kagera vyenye thamani ya S…

Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO

Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya, wengi miongoni mwao ni wanaume. Ripoti mpya kutoka kwa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaonyesha kwamba vif…

Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza

Hii ni Nchi ya 51 kutambuliwa na WHO kwa kutokomeza ugonjwa huu wa kitropiki uliosahaulika, Shirika la Afya Duniani (WHO) linaipongeza Chad kwa kuondoa aina ya gambinse ya trypanosomiasis kwa …

Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO

Je wewe ni mtu ambaye unafanya mazoezi? Kama la, ni vema ufahamu kuwa wewe ni sehemu ya watu bilioni 1.8 duniani kote ambao wako hatarini kupata magonjwa kwa sababu tu ya kutofanya mazoezi. Shir…

Angalizo utoaji wa Dawa za Semaglutides,baada ya dawa bandia kuongezeka

Hii ni notisi ya kwanza rasmi iliyotolewa na  WHO  baada ya kuthibitisha baadhi ya ripoti hizo. Katika  taarifa  yake kwa vyombo vya habari WHO imeeleza kuwa tahadhari hiyo ni kwa ajili ya makun…

Faida ambazo huzijui Ukifanya mazoezi kila Siku

Faida ambazo huzijui Ukifanya mazoezi kila Siku Chini ya mwamvuli wa Wizara ya Afya, mtu ni Afya, mambo lukuki yalizungumzwa na wataalam wa afya. Mwanaspoti Dokta inaungana na wataalamu hao kwa …

WHO: Zaidi ya wanawake 600,000 kuishi na matokeo mabaya ya UKEKETAJI

Inakadiriwa kuwa wasichana milioni 4.3 walikuwa hatarini kukabiliwa na ukeketaji mwaka 2023. Utafiti huo uliohusisha taarifa zilisowasilishwa na nchi pamoja na asasi za kiraia umebainisha kuwa i…

Kwa mujibu wa WHO, ni karibu theluthi moja tu ya hospitali 36 zilizoko Gaza ndizo ambazo bado zinafanya kazi

#PICHA:Mama na bintiye wanapokea huduma katika Hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Gaza mnamo Aprili 2024. Huku mashambulizi ya mabomu yanayofanywa na jeshi la Israel yakiendelea usiku kucha …

WHO yatoa orodha mpya ya bakteria sugu dhidi ya dawa

WHO yatoa orodha mpya ya bakteria sugu dhidi ya dawa Shirika la Afya Duniani (WHO) leo limetoa Orodha mpya ya inayojumuisha familia 15 za bakteria zenye usugu dhidi ya viuavijiumbe maradhi au an…

WHO:Niger kukabiliwa na ongezeko kubwa la homa ya uti wa mgongo au meningitis

WHO:Niger kukabiliwa na ongezeko kubwa la homa ya uti wa mgongo au meningitis Niger ambayo mwaka huu inakabiliwa na ongezeko la asilimia 50 la wagonjwa wa homa ya uti wa mgongo au meningitis ik…

WHO Ripoti mpya: kuna uhusiano wa COVID-19 na unene au utipwatipwa kwa Watoto

WHO Ripoti mpya: kuna uhusiano wa COVID-19 na unene au utipwatipwa kwa Watoto Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la afya la duniani WHO imesema kuna uhusiano baina ya COVID-19 na Watoto kuk…

Uingereza:Unywaji wa pombe, ambao unaweza kuharibu ubongo wa watoto

Uingereza yaongoza matumizi ya Pombe kwa Watoto. Theluthi moja ya watoto wenye umri wa miaka 11 na zaidi ya nusu ya watoto wa umri wa miaka 13 nchini Uingereza wamekunywa pombe, na kuifanya nchi…

Serikali kuanzisha taasisi upasuaji ubongo

Serikali kuanzisha taasisi upasuaji ubongo Wizara ya Afya imedhamiria kuanzisha taasisi mahususi itakayoshughulikia masuala ya upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu ili kuboresha huduma hizo z…

Afrika hujumuisha asilimia 95 ya wagonjwa wa malaria duniani;WHO

Nchi zinazokabiliwa Zaidi na Vifo na milipuko ya ugonjwa wa Malaria kama vile Uganda, zimefaulu angalau kwa kiwango fulani. Wakati ulimwengu ukiadhimisha siku ya kupambana na ugonjwa wa Malaria …

Matumizi makubwa ya dawa za Antibiotics kipindi cha COVID-19,hatari ya kuongeza Usugu

Matumizi makubwa ya dawa za Antibiotics kipindi cha COVID-19,hatari ya kuongeza Usugu. Ushahidi mpya uliotolewa na shirika la afya ulimwenguni, WHO unaonesha kuwa wakati wa janga la COVID-19 kul…

Kuongeza Nguvu Katika Mapambano Dhidi ya Malaria

LEO ni Siku ya Malaria Duniani ambayo imekuwa ikiadhimishwa kila mwaka tangu ilipoanzishwa na nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 2007 wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Afya. …

Wiki ya Kimataifa ya Chanjo yaanza leo 24 hadi 30 Aprili

Wiki ya Kimataifa ya Chanjo yaanza leo 24 hadi 30 Aprili Wiki ya Kimataifa ya Chanjo ambayo huadhimishwa katika kila wiki ya mwisho ya mwezi Aprili, inalenga kuangazia hatua za pamoja zinazohita…

Watoto wa kike milioni 5 nchini Tanzania kupatiwa chanjo dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi- WHO

Watoto wa kike milioni 5 nchini Tanzania kupatiwa chanjo dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi- WHO #PICHA: Uzinduzi wa kampeni ya siku 5 ya kitaifa ya chanjo dhidi ya saratani ya shingo ya kiza…

WHO yaitangaza Cape Verde kutokomeza Malaria

WHO yaitangaza Cape Verde kutokomeza Malaria Shirika la afya ulimwenguni WHO, limeitangaza Cape Verde kuwa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza ugonjwa wa Malaria, wakati ambapo ugonjwa huo bad…

Maambukizi ya homa ya ini yanasababisha vifo vya watu 3500 kila siku;WHO

Kwa Mujibu wa Takwimu za Shirika la Afya Duniani(WHO; Maambukizi ya homa ya ini yanasababisha vifo vya watu 3500 kila siku. Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ya mwaka 2024 kuhusu hali ya…

Load More Posts That is All