Sri Lanka:Kimbunga Ditwah chaacha uharibifu mkubwa na kuua watu 159
Mamlaka nchini Sri Lanka zinapambana na mafuriko yanayoongezeka katika maeneo ya mji mkuu Colombo, baada ya Kimbunga Ditwah kuacha uharibifu mkubwa na kuua watu 159 kote nchini. Zaidi ya watu 20…