Tukio:Kufuatia Mvua kubwa,Watu 90 wafariki kwa mafuriko Indonesia
Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya takriban watu 90 nchini Indonesia wiki hii huku mvua kubwa isiyo ya kawaida ikinyesha katika kisiwa cha Sumatra. Kanda za video zin…