Head

Muuguzi Apona Kimuujiza Baada ya Kuambiwa Huenda Asiamke Tena Kutoka Kwenye Coma

Muuguzi Apona Kimuujiza Baada ya Kuambiwa Huenda Asiamke Tena Kutoka Kwenye Coma Familia ya muuguzi mwenye umri wa miaka 27 kutoka Texas, Sarah Danh, imeelezea furaha na mshangao mkubwa baada y…

SIMULIZI:Mwanamke aliyevuta Sigara kwa Kujifurahisha sasa ateswa na Saratani ya Mapafu

Picha za Mwanamke mmoja zimeanza kusambaa sana baada ya kushiriki ujumbe wenye hisia na kugusa watu wengi kuhusu mapambano yake dhidi ya Saratani ya Mapafu, akidai alianza kuvuta sigara ovyo aki…

Ajifungua Mapacha Wenye Baba Tofauti

Tukio la kushangaza lililoripotiwa nchini Brazil liliwaacha Watu wakiwa na mshangao, baada ya msichana mwenye umri wa miaka 19 kujifungua mapacha wenye baba tofauti. Kitaalamu, hali hii adimu i…

Mwanaume wa Nigeria asherehekea mkewe kuzaa mapacha baada ya Kusubiri miaka 16 kwenye ndoa

Mwanaume mmoja kutoka Nigeria asherehekea mkewe kuzaa mapacha baada ya miaka 16 ya kusubiri Mwanamume wa Nigeria, Collins Egwurugwu, amesherehekea kuwa baba baada ya miaka 16 ya ndoa. Alitumia F…

Tafadhali niache niende’ - Mwanamke mgonjwa sana, 25, akata tamaa baada ya kupambana na ugonjwa adimu maisha yake yote

“Tafadhali niache niende-Mwanamke mgonjwa sana, mwenye umri wa miaka 25, anachagua kifo baada ya kupambana na ugonjwa adimu maisha yake yote Mwanamke mmoja wa Australia ameamua kujikatia tamaa m…

Sarah aeleza jinsi ambavyo alianza kuona dalili za Ugonjwa wa Mpox

Sarah aeleza jinsi ambavyo alianza kuona dalili za Ugonjwa wa Mpox Ni Sarah huyu, mmoja wa waathiriwa wa ugonjwa huo  katika kaunti ya Mombasa nchini Kenya. Maambukizi ya ugonjwa wa mpox kutokan…

MAAJABU:Mimba yatunga nje ya mfuko wa uzazi kwa miaka minne

MAAJABU:Mimba yatunga nje ya mfuko wa uzazi kwa miaka minne MKAZI wa Kijiji cha Mbika kata Ushetu Halmashauri ya Ushetu wilayani hapa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mayega (55) amefanyiwa upasuaji ku…

Mwanamke aliye na ugonjwa adimu wa kinga ya mwili kuwa kipofu

Mwanamke aliye na ugonjwa adimu wa kinga ya mwili kuwa kipofu, baada ya madaktari kumpa chanjo 3  Mwanamke mwenye umri wa miaka 23 kutoka Florida, Marekani ameachwa akiwa amepofuka kwa muda na m…

Josphine kutoka Kenya anaishi na hali inayoathiri ubongo ‘Cerebral palsy’ kwa kiingereza

Josphine Mwende, mwenye umri wa miaka 34, kutoka Kenya anaishi na hali inayoathiri ubongo ‘Cerebral palsy’ kwa kiingereza. – Anasema moja ya changamoto alizokabiliana nazo ilikuwa ni ulimwengu w…

Load More Posts That is All