CHOO KIGUMU
• • • • •
TATIZO LA KUPATA CHOO KIGUMU
➡️ Constipation
MADHARA
Karibu Afyaclass Bongo Social kupata Makala Mbali mbali,Discussions za Afya N.k,Share mawazo yako hapa au chochote kuhusiana na Makala husika,Karibu Sana Mdau Wetu Muhimu.
CHOO KIGUMU
• • • • •
MADHARA
RANCIDITY
• • • • • •
Athari za Mafuta ya kula yaliyoharibika na jinsi ya kuepuka kutumia mafuta yaliyoharibika(Rancidity)
Mafuta yaliyoharibika huweza kutambuliwa kwa harufu mbaya,kubadilika rangi n.k
Na hapa hatunzungumzii tu mafuta ya kununua dukani, bali hata mafuta kutoka kwa viumbe kama samaki walioharibika n.k
ATHARI ZA KULA MAFUTA YALIYOHARIBIKA
- Mafuta yaliyoharibika hufanya mchakato unaujulikana kama Oxidation kwenye seli hai za mwili wako ndipo madhara huanza kutokea japo sio pale pale bali huchukua muda kidogo,
Madhara hayo ni pamoja na;
✓ Kuharibiwa kwa seli hai za mwili
✓ Kuharibiwa kwa proteins,DNA N.k
✓ Lakini pia mchakato huu wa oxidation huongeza speed ya mtu kuzeeka haraka pamoja na kupatwa na magonjwa mbali mbali ya kudumu kama vile;
• Magonjwa ya moyo ikiwa ni pamoja na mishipa ya moyo kuziba,moyo kuwa mkubwa,kuvimba n.k
• Tatizo la saratani au kansa mbali mbali
• Pamoja na matatizo ya uvimbe kwenye maeneo mbali mbali mwilini
JINSI YA KUEPUKA KUTUMIA MAFUTA YALIYOHARIBIKA
1. Utunzaji wa mfuta: weka mafuta kwenye sehemu ya ubaridi pamoja na kutumia vyombo visafi vya kuhifadhia mafuta
2. Epuka kununua mafuta mengi kwa wakati mmoja ambayo yatakaa kwa muda mrefu
3. Angalia Expire date wakati unanunua mafuta dukani
4. Epuka kula samaki walioharibika
5. Chagua mafuta ambayo hayagandi ni mazuri zaidi
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
DAWA
• • • • •
MAMBO YAKUFANYA ILI KUSAIDIA DAWA IFANYE KAZI NA kuondoa Ukinzani wa Dawa(Drug Resistance)
Jinsi ya Kuzuia Ukinzani wa Antibiotic au kwa kitaalam Drug resistance
Dawa kutokufanya kazi au Ukinzani wa dawa hutokea wakati bakteria wakitengeneza kinga dhidi ya dawa zilizoundwa ili kuwaua. Hii inafanya dawa kuwa haina maana dhidi ya aina mpya za vimelea sugu,
Ikiruhusu ukinzani kukua na kuenea kwa vijidudu vingine, na kutengeneza maambukizi yanayostahimili dawa ambayo inaweza kuwa ngumu kutibu.
Kinga ni njia bora ya kulinda dhidi ya ukinzani wa antibiotic. Kuna hatua nyingi ambazo watu wanaweza kuchukua ili kujilinda na familia zao kama vile:
1.Jifunze njia sahihi za kutumia dawa za kuua vimelea vya magonjwa kama vile Bacteria n.k
Sio maambukizi yote yanahitaji dawa. Lakini pia ongea na wataalam wa afya ili kuhakikisha unapata dawa sahihi ya kukinga au kutibu tatizo lako, kwa kipimo sahihi na kwa muda sahihi. Kamwe usitumie dawa za kukinga na magonjwa ikiwa mtaalamu wako wa huduma ya afya anasema hazihitajiki.
2. Epuka matumizi ya Dawa hovio
3. Epuka kukatisha matumizi ya dawa bila kumaliza Dose uliyopewa hata kama umepata nafuu au kupona kabsa
4. Kamwe Usitumie Antibiotic au dawa zilizobaki kwa muda mrefu,kuisha muda wa matumizi au zilizoexpire
5. Tumia dawa pale ambapo kuna ulazima wa kutumia dawa
ZINGATIA PIA BAADHI YA TIPS HIZI HAPA;
✓ Andaa Chakula safi na Salama
Chakula kama nyama, matunda, na mboga zinaweza kuchafuliwa na bakteria. Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) vinapendekeza hatua nne rahisi za kuandaa chakula salama nyumbani: Safi, kitenge, pika, na ubaridi.
✓ Kupata Chanjo
Ni muhimu sana kupata chanjo zote toka unazaliwa kwa magonjwa yote ambayo huzuiwa kwa chanjo kama vile; ugonjwa wa kupooza(polio),kifua kikuu,Surua N.k
✓ kunawa mikono yako
Miili yetu iko wazi kwa mamilioni ya viini vya magonjwa kama vile Bacteria,fangasi,virusi n.k. Kuosha mikono mara kwa mara kunaweza kusaidia kupambana na vijidudu na kuzuia magonjwa.
✓ Jua Dalili za magonjwa mbali mbali
Jifunze jinsi ya kutambua dalili za mapema za maambukizi ya magonjwa mbali mbali. Ikiwa unahisi una maambukizi au kuumwa, ongea na wataalam wa afya kwa ajili ya vipimo pamoja na matibabu.
✓ Uliza Maswali
Ongea na wataalam wa afya juu ya dawa za kukinga au kukutibu wanazokupa na ujifunze juu ya athari zinazoweza kutokea. Uliza juu ya kile wanachofanya na lengo kuu la kukupa dawa hizo ni nini
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
QUESTION
• • • •
How many times required per day for A Health human being defecate ?
This question you can ask yourself so as to find out if you have access to the toilet as required or do you have a problem?
Nowdays, many people experience the problem of constipation or not having access to the toilet at all which is accompanied by severe pain, bruises, blood etc.
🔻How many times required per day for A Health human being defecate ?
A healthy human being should not miss toilet on whole day, and if you eat well and full you can defecate from two or three times a day.
Are you defecate properly? or do you have a problem of missing a bowel movement, having constipation or severe pain when defecating?
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT CONTACT US ON WHATSAPP +255758286584.
WORMS
• • • • •
HOOKWORMS infection, its source, symptoms and treatment
Hookworms infection is an infection caused by worms known as Hookworms which affects many people, including young children.
SOURCE OF HOOKWORMS INFECTION
- HOOKWORMS Infections occurs due to worms known as Hookworms found in various areas like in Soil etc,
Thus why not recommended for a person to walk with bear feet bacause these worms can penetrate through feet from the Soil
SIGNS AND SYMPTOMS OF HOOKWORMS INFECTION Includes;
✓ Anorexia nervosa
✓ Some people eat more than usual
✓ Body weight loss including excessive thinning
✓ The body is completely weak
✓ Body muscles become weak
✓ Frequent abdominal pain
✓ Patient with frequent diarrhea
✓ Feeling the symptoms of Worms during defecation
✓ Hair losses for some patients
✓ Get all the signs and symptoms of anemia
etc
TREATMENT OF HOOKWORMS INFECTION
This infection is treated with a variety of drugs, including Albendazole, mebendazole (for pregnant women), etc.
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT CONTACT US ON WHATSAPP +255758286584.
AFYA YA UZAZI
• • • •
Sababu za Mimba Kutunga Nje ya Kizazi pamoja na Dalili zake(Ectopic pregnancy)
Kwa asilimia kubwa Mimba kutunga Nje ya kizazi yaani kwa kitaalam Ectopic pregnancy hutokea wakati yai lililorutubishwa kukwama ndani ya mirija ya uzazi(fallopian tubes) au kuelekea kwenye njia ya uzazi, japo mimba kutunga sehemu nyingine yoyote mbali na sehemu yake ya kawaida ndani ya kizazi bado ni Ectopic pregnancy,
CHANZO CHA TATIZO HILI LA MIMBA KUTUNGA NJE YA KIZAZI
- mara nyingi mimba hutunga nje ya kizazi kwa sababu mirija ya uzazi yaani fallopian tubes imeharibiwa, kuziba au kufungwa vibaya.
- Tatizo la mvurugiko wa vichocheo mwilini(hormone imbalance) au ukuaji usiokuwa wa kawaida wa yai lililorutubishwa pia linaweza kuchangia tatizo hili.
• Vitu vingine ambavyo vinaweza kuchangia tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi ni pamoja na:
✓ Kuwa na tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi kwenye ujauzito wa nyuma. Ikiwa umewahi kuwa na ujauzito wa aina hii hapo awali, una uwezekano mkubwa wa kuwa na mwingine.
✓ Uvimbe au maambukizi ya magonjwa mbali mbali. Maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama; kisonono au chlamydia, yanaweza kusababisha kuvimba kwenye mirija na viungo vingine vya karibu, na kuongeza hatari ya ujauzito kutunga nje ya kizazi(ectopic pregnancy).
✓ Matibabu kwa ajili ya kupata mtoto. Utafiti mwingine unaonyesha kwamba wanawake ambao wamewahi kufanyiwa In- Vitro fertilization (IVF) kwa ajili ya kupata watoto au matibabu kama hayo wana uwezekano wa kuwa na tatizo la ujauzito kutunga nje ya kizazi(ectopic pregnancy).
Pia kukaa kwa muda mrefu sana bila kuzaa au kuzaa mapema sana huweza kuongeza uwezakano wa tatizo
✓ Upasuaji katika mirija ya uzazi(Tubal surgery). Upasuaji wa kurekebisha tatizo lolote kwenye mirija ya uzazi yaani fallopian tubes huongeza hatari ya Mwanamke kupatwa na tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi.
✓ Aina ya njia ya uzazi wa mpango ulioichagua. Uwezekano wa kupata ujauzito wakati unatumia kifaa kama intrauterine device (IUD) ni mdogo sana.
Lakini endapo kwa bahati mbaya ikitokea umebeba mimba na una kifaa cha IUD ndani yako, uwezekano wa mimba kutunga nje ya kizazi ni mkubwa.
Njia ya kufunga uzazi(Tubal ligation), njia hii ni ya kudumu ya kudhibiti uzazi lakini ikiwa utapata ujauzito baada ya utaratibu huu uwezekano wa mimba hyo kutunga nje ya kizazi ni asilimia 100.
✓ Uvutaji sigara. Uvutaji sigara kabla tu ya kupata ujauzito unaweza kuongeza hatari ya ujauzito kutunga nje ya kizazi. Kadri unavyovuta sigara, ndivyo hatari inavyo kuwa kubwa zaidi.
DALILI ZA MIMBA KUTUNGA NJE YA KIZAZI
Huenda usione dalili yoyote mwanzoni. wanawake wengi ambao wana tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi(ectopic pregnancy) wanapata dalili zote za awali za ujauzito kama vile; kukosa period au kutokuona siku zao za hedhi, matiti kujaa, kichefuchefu N.k.
Ikiwa unapima ujauzito au mimba, matokeo yatakuwa mazuri tu kama kawaida na kuonyesha kwamba wewe ni mjamzito. Tofauti tu ni kwamba matatizo huanza kutokea pale ujauzito unavyozidi kukua.
- Mara nyingi, dalili za kwanza kabsa kama una tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi ni damu nyepesi kuanza kutoka ukeni na maumivu ya kiuno au nyonga.
Ikiwa damu huvuja kutoka kwenye mirija ya uzazi(fallopian tubes), unaweza kuhisi maumivu ya bega au hamu ya kuwa na haja kubwa. Dalili maalum hutegemea mahali damu inajikusanya na mishipa ipi inaathiriwa.
Ikiwa yai lililorutubishwa linaendelea kukua kwenye mrija wa fallopian, linaweza kusababisha mrija huo wa uzazi kupasuka. Matokeo yake ni Kutokwa na damu nzito ndani ya tumbo la uzazi. Dalili kama hii huweza kuhatarisha maisha,kusababisha maumivu makali ya kichwa, kuzimia na mshtuko.
KUMBUKA; NENDA HOSPITAL HARAKA UKIONA DALILI KAMA HIZI HAPA;
• Maumivu makali ya tumbo na kutokwa na damu ukeni
• Maumivu makali ya Kichwa au kuzimia
• Maumivu ya bega N.k
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
Headache
• • • • • •
Signs and Symptoms of migraine
Migraine is a problem that involves a person suffering from severe headaches that are caused by a variety of factors such as;
- the condition of dilated blood vessels in the scalp such as Artery dilation,
- changes in the blood system i.e Blood stream and changes in hormones such as serotonin that is responsible for controlling the level of pain in the nervous system.
All of these are contributed by a variety of factors such as;
✓ A person with mental stress
✓ Excessive alcohol consumption
✓ Drink caffeinated beverages like coffee etc.
✓ Lack of adequate sleep
✓ Use of various medications such as; birth control pills etc.
✓ climate changes; Have a hot sun as well as very warm
etc
SIGNS AND SYMPTOMS OF MIGRAINE INCLUDE;
A day or two days before this problem occurs, a person may experience changes such as;
• Start getting constipation
• Loss of mood
• Neck stiffness
• Increased thirst for water as well as excessive urination
• Someone yawning profusely
• Having vision problems including Blurr vision
THEN LATER other signs and symptoms appear for example;
- Severe headache
- A vein palpating on one side of the head
- Seizures and nausea
- Someone gets dizzyness
- Hearing noises in the ears
- Having trouble speaking
- Body trembling
- The body lacks strength
- Symptoms of confusion
etc
TREATMENT FOR THIS PROBLEM
• There are various medications to relieve this pain such as; Ibuprofen, Paracetum etc
although if a person experiences more serious signs and symptoms such as speech problems, body tremors, etc. it is best to see a health professionals.
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT CONTACT US ON WHATSAPP +255758286584.
THE HEALTH BENEFITS OF USING APPLE FRUIT
➡️ Apples
.
Minerals and concentrations contained in the fruit:
Moisture 84.6% - Calcium 10mg
0.2% Protein - Phosphorus 14mg
Fat 0.5% - Iron 1mg
Minerals 0/3% - Vitamins A 40 IU
Fiber 1.0% - low level of Vitamin E, H and B complex
Carbohydrates 13.4%
.
THE HEALTH BENEFITS OF USING APPLE FRUIT
1. Anemia
Apple contains a lot of iron, arsenic and phosphorus, which is more benefit for anemic patients. It is best to make fresh apple juice and drink one glass before eating (half an hour before) and before going to bed at night.
.
2. Diarrhea and vomiting:
A person with this complications is best to use this fruit (apple). Every day eat 2 fruits also if it is cooked become more better as it softens cellulose
.
3. Stomach problems:
There are different stomach problems, so this fruit has collected all the stomach problems and eliminated those problems. Mix apple, a little honey and a little flour and eat before eating the food,this helps to get rid of stomach problems such as poor digestion of food and others.
.
4. Headache:
This fruit is beneficial in all headaches. The ripe apple is peeled off, then eaten with a little salt every morning before eating anything, and continue to do this for 2 weeks.
.
5. Heart problems:
Apple is rich in potassium and phosphorus but sodium is very rare. In ancient times people ate this fruit and honey for heart diseases and research has been shown to people who consume foods high in potassium can avoid heart diseases. It is good to eat this fruit with honey.
.
6. High Blood Pressure:
Apple helps increase urine secretion which helps restore blood pressure to normal, and also helps reduce sodium chloride in the kidneys.
.
7. Dry chest and kidney stones:
250 grams of apple for a whole week.
.
8. Teeth:
These fruits are very helpful in cleaning the teeth and preventing them from germs and rot, after each meal you eat one apple.
.
THE END AND THANK YOU 🙏
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT CONTACT US ON WHATSAPP +255758286584.
Welcome .. !!!
PREGNANCY
• • • • •
SIGNS AND SYMPTOMS OF PREGNANCY
The followings are some of the signs and symptoms for pregnant woman;
1. A woman missing her menstrual period
2. A woman spits very often
3. Breast tenderness as well as swelling
4. Feeling nauseous and frequent vomiting
5. Frequent urination
6. getting excessive body fatigue
7. Irregular and high Heartbeat
8. Mood changes,Being an angry person from time to time for some women
9. Stomach filled with gas often
10. Stomach tightening and pulling
11. Get a light spot, and this happens when the baby clings to the uterus
12. Start getting constipation regularly
13. Inflammation of the nose, this is due to changes in hormones as well as blood circulation which leads to inflammation of the mucous membrane of the nose
14. Changing the skin of the body especially the facial areas, and having white spots that are different from the normal skin color
15. Start getting heartburn frequently
16. Insomnia
17. Change the eating system, and start liking certain foods and hating certain foods
18. Starting to like the smell of certain things and starting to hate the smells of certain things
19. Like to eat regularly
20. Frequent vomiting after eating food
etc
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT CONTACT US ON WHATSAPP +255758286584.
HORMONAL DISORDER
• • • • •
ALDOSTERONISM-Causes, symptoms and treatment
Aldosteronism is a problem that involves the adrenal gland producing more Aldosterone hormone than normal.
SOURCE OF ALDOSTERONISM
- Inherited genetics of this problem within a family or clan
- Excessive functioning of both adrenal glands
- Having cancer in one or two adrenal glands
- etc
SYMPTOMS OF ALDOSTERONISM INCLUDE;
- The patient gets very thirsty for water
- The patient gets frequent urination sensations
- Body weakness and Fatique
- Having high blood pressure
- Having a problem with muscle contraction(spasms)
- Frequent severe headaches
etc
TREATMENT OF ALDOSTERONISM
✓ The treatment of this problem depends on its source, but in general there are various treatments such as;
the use of drugs that inhibit the production of high levels of Aldosterone hormone as well as surgery and removal of these glands.
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT CONTACT US ON WHATSAPP +255758286584.
DALILI 8 AMBAZO MTU HUWEZA KUZIPATA BAADA YA KIDONDA CHAKE KUSHAMBULIWA NA BACTERIA

1. Homa
Baada ya upasuaji, ni kawaida kwa wagonjwa kuwa na homa kwa kiwango cha chini ya digrii 100 Fahrenheit. lakini, ikiwa joto la mwili lipo juu hadi 101 au zaidi, hiyo inaweza kuonyesha uwezekano wa maambukizi ya vimelea vya magonjwa kama vile Bacteria katika kidonda.
Wagonjwa ambao wana homa wanaweza pia kuwa na tatizo la maumivu ya kichwa na kupungua kwa hamu ya kula.
Vidonda vilivyoshambiwa na Bacteria vinaweza kupatiwa tiba ya antimicrobial drugs n.k.
2. Mwili kuchoka kupita kiasi
Kumuuliza mgonjwa jinsi anavyohisi inaweza kusaidia kutathmini uwepo wa maambukizi katika kidonda.
Kupata uchovu wa mwili kupita kiasi pamoja na mwili kukosa nguvu huweza kuwa kiashiria mojawapo cha uwepo wa maambukizi kwenye kidonda au jeraha ulilonalo.
3. Kidonda kutoa usaha au maji maji yenye rangi ya Kijani au Njano
Katika hali ya kawaida kidonda kinatakiwa kiwe na rangi nyekundu, hii ndyo ishara nzuri ya kidonda kuelekea kupona kwa urahisi
4. Kuongezeka kwa Maumivu katika Jeraha au Kidonda
Kwa ujumla, mgonjwa anayeendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji au kuwa na jeraha/kidonda anapaswa kuona unafuu na maumivu yanayopungua na sio kuongezeka.
Ikiwa mgonjwa ana maumivu yanayoongezeka badala kupungua, hiyo inaweza kuwa dalili ya maambukizi katika jeraha au kidonda.
5.Uwekundu Kuzunguka Jeraha au kidonda huku ndani ya kidonda kukiwa na rangi ya tofauti kama vile njano au kijani
Hapo awali, vidonda vinaonekana vyekundu kidogo kwa sababu ya mchakato wa uchochezi wa asili wa uponyaji, lakini uwekundu huo unapaswa kupungua polepole kwa takribani siku 5-7.
Uwekundu zaidi karibu na jeraha huku ndani ya kidonda kukiwa na rangi nyingine ya tofauti kama njano au kijani ni ishara ya maambukizi katika jeraha.
6. Uvimbe wa Eneo Lililojeruhiwa
Kama uwekundu, uvimbe ni kawaida katika hatua za mwanzo za uponyaji wa jeraha. lakini, uvimbe unapaswa kupungua kila wakati. Uvimbe wa kudumu inaweza kuwa ishara ya maambukizi au shida zingine kwenye kidonda.
7. Joto La Ngozi Inayozunguka kidonda
Ingawa inaweza kuwa kawaida kwa ngozi inayozunguka jeraha kuhisi joto kali, Lakini endapo ngozi inayozunguka kidonda huhisi joto sana kwa kugusa bila kupoa, hiyo inaweza kuonyesha kwamba mwili unapanga mashambulizi dhidi ya maambukizi.
Joto husababishwa na kutolewa kwa kemikali za vasoactive zinazoongeza mtiririko wa damu kwenye eneo hilo. Kwa kuongezea, mfumo wa kinga hutoa joto zaidi kwa kutuma lymphocyte kutoa kingamwili kuharibu pathogen na phagocytes kumeza bakteria waliokufa.
8. Kupoteza uwezo wa kufanya kazi katika kiungo chenye jeraha au kidonda
Ishara nyingine ya maambukizi kwenye jeraha ambayo inaweza kuhitaji matibabu, ni wakati mgonjwa amepoteza uwezo wa kiutendaji kwenye kiungo au eneo lilithoathiriwa.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
HPV
• • • • •
FACTS ABOUT HUMAN PAPILLOMA VIRUS (HPV)
Human papilloma virus or simply HPV is a virus that spreads in large number of people through sexual intercourse,
So people who doing unprotected sex or any other type of sex (Vaginal sex, anal sex, oral sex) are all at risk of getting this virus.
DISEASES CAUSED BY THIS HPV
- HPV or Human papilloma virus can cause various types of cancer in the human body such as;
1. Cervical cancer
2. Cancer of the anus
3. Penis cancer in men
4. Vaginal cancer in women
5. Throat cancer
etc
- A large percentage of people with HPV infection get rashes or genital warts in women, pain during sex, irritability, bleeding during sex etc.
PEOPLE WHO ARE AT RISK OF GETTING HPV
- People who doing unprotected sex
- People who doing anal sex
- People with low immunity eg those with diseases such as; AIDS,DIABETES etc
- Older people
- People with Multiple partners
etc
TREATMENT FOR HPV INFECTION
- Human papilloma virus (HPV) infection is self-recovered especially in young children, but in adults it is a little more complicated, and unfortunately there is no direct drug to control the virus,
but there are treatments for controlling the symptoms caused by this virus as it is for the treatment of many diseases caused by other viruses.
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT ON DIFFERENT DISEASES CONTACT US ON WHATSAPP +255758286584.
VOICE PROBLEM
• • • • • •
SOURCE OF PROBLEMS IN PERSON'S VOICE or Voice problem
Often problems with a person's voice bases mainly on two segments i.e Voice box(Larynx) and Vocal cords which can including voice stopping, sound scratching, etc.
SOURCE OF PROBLEMS IN PERSON'S VOICE or Voice problem
• Problems with one's voice can be due to the VOCAL CORD Area getting various problems such as; Inflammation, nerves paralysis,diseases infections etc.
• Problems in the entire nervous system, Polyps N.k.
FACTORS WHICH INCREASE A PERSON'S POSSIBILITY TO HAVE VOICE PROBLEMS INCLUDING;
- A person being too old or aging
- Excessive Alcohol consumption
- Cigarette Smoking
- Having Allergies problem
- Different pathogens infections such as Bacteria in the airways,fungus,Virus- Influenza etc.
- Problems in the nerves system
- Having a Throat Cancer
etc
TREATMENT FOR THIS PROBLEM
✓ Treatment of this problem depends on its source, for example if the source is tumor, then the patient is given anti-inflammatory drugs, If it is Cancer, Patient gets treatment for cancer,
As well as stopping risky behaviors such as;
- Cigarette-Smoking
- Excessive Alcohol Consumption
etc
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT CONTACT US ON WHATSAPP +255758286584.
TESTICLES
• • • • •
NUMBER OF TESTICLES FOR MEN (read to know)
A large number of men have two testicles, but not all of them,
There are men with only one testicle a condition which is known as MONORCHISM,
But there are also a small number of men who have more than two testicles, i.e from Three, Four, etc. a condition that is known as POLYORCHIDISM
IS THERE ANY EFFECTS ON A MAN WITH ONE OR MORE THAN TWO TESTES?
- There are no health effects for a man with this condition, although there are a few studies that have shown that,
1. For men who have more than two testicles they are at risk of getting Cancer or Testicular Cancer
2. And for men with one testicle they are at risk of developing Hernia
CAN THIS CONDITION AFFECT MEN'S REPRODUCTIVE HEALTH?
✓ No, there is no connection between number of testicles and male reproductive health,
So this man will be like other men in terms of sperm production, male potency, ability to impregnate a woman, etc.
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT ON ANY PROBLEM CONTACT US ON WHATSAPP +255758286584.
PCOS
• • • • •
POLYCYSTIC OVARY SYNDROME (PCOS), its source, symptoms and treatment
Polycystic ovary syndrome is hormonal disorder which causing enlarged Ovaries and involves abnormalities in body hormones, especially in women of childbearing age or reproductive age.
SYMPTOMS OF POLYCYSTIC OVARY SYNDROME (PCOS) include;
✓ A woman having an irregular menstrual cycle, getting menstrual blid for a long time for example more than a week or staying for a long time missing period for even more than 3 months n.k
✓ A woman having a lot of hair on her body, face etc.
✓ A woman having a beard
✓ A woman having baldness
✓ A woman has severe facial acne that does not last etc
SOURCE OF POLYCYSTIC OVARY SYNDROME (PCOS)
- There is no direct cause associated with the presence of PCOS, but there are some factors that can increase chance of occurance such as;
1. A woman having high levels of a male hormone known as ANDROGEN
2. A woman having high levels of the hormone INSULIN which increases Androgen production
3. The problem of inflammation in the ovaries which stimulates the Ovaries to produce androgen
4. We also inherit the genetic strains of this problem in the family or clan(Heredity factor)
EFFECTS OF POLYCYSTIC OVARY SYNDROME (PCOS) IN WOMEN
• Woman's inability to conceive
• Getting gestational diabetes i.e. Diabetes during pregnancy
• Getting Pregnancy induced Hypertension(PIH)
• Getting cancer on the walls of the uterus
• A woman getting a Pregnancy complications such as miscariage etc
• Premature birth
• Getting a liver problem
• Problems in processing foods and beverages within cells to produce energy i.e metabolic syndrome
• Problems with high levels of Fat or Cholesterol in the body
• Having diabetes especially Type 2 Diabetes
• Depression, anxiety, etc.
• Having abnormal bleeding in the uterus i.e abnormal Uterine bleeding
etc
TREATMENT FOR POLYCYSTIC OVARY SYNDROME (PCOS)
- treatment of this problem involves controlling its symptoms such as;
• The problem of having an irregular menstrual cycle,various drugs are used such as Combined Oral contraceptives (COC's) etc.
• Medications to help a woman with an infertility problem, etc
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT CONTACT US ON WHATSAPP +255758286584.
TETANUS
• • • • • •
Dalili za Tetanus(pepopunda) baada ya mtu kuchomwa na kitu chenye Ncha kali
Tetanus ni ugonjwa hatari sana ambao kwa kiswahili hujulikana kama Pepopunda,Ugonjwa huu huhusisha athari kwenye mfumo wa Fahamu inayosababishwa na sumu ya Bacteria(toxin-producing bacterium)
Sumu hii kutoka kwa Bacteria mtu huweza kuipata baada ya kuchomwa na vitu vya ncha kali kama vile Misumari,Mabati,Chupa,sindano n.k
DALILI ZA TETANUS AU PEPOPUNDA
-Wastani kutoka kuambukizwa hadi kuonekana kwa ishara na dalili (kipindi cha incubation) ni siku 10. Kipindi cha incubation kinaweza kuchukua siku 3 hadi 21.
Ishara na dalili za tetanus au pepopunda huanza pole pole kisha huendelea kuwa mbaya zaidi ndani ya wiki mbili. Kawaida dalili huanza kuonekana kwenye taya na kuendelea kushuka chini ya mwilini.
Ishara na dalili za pepopunda ni pamoja na:
1. Misuli ya mwili kuwa na maumivu makali na kuwa migumu au kukakamaa,ugumu wa misuli kwenye taya n.k
2. Mvutano wa misuli kuzunguka midomo yako, wakati mwingine hutengeneza kitu kinaitwa persistent grin
3.Misuli kukamaa na kuparalize au kupooza katika maeneo ya shingoni
4. Kupata shida sana ya kumeza kitu
5. Misuli ya tumboni kuwa migumu sana
6. Kukua kwa ugonjwa wa pepopunda husababisha maumivu yanayojirudia, pamoja na mgonjwa kupata mshtuko ambao hudumu kwa dakika kadhaa (spasms).
7. Kwa Kawaida, shingo na upande wa nyuma pamoja na miguu huwa migumu, mikono hunyooka kwa mbele huku ngumi zimekunjwa.
8. Ugumu wa misuli kwenye shingo na tumbo unaweza kusababisha shida ya kupumua.
• Kadri ugonjwa unavyoendelea, ishara zingine na dalili zinaweza kuonekana kama vile;
1. Shinikizo la damu kuwa juu au Mtu kuwa na Presha ya kupanda(High blood pressure)
2. Mapigo ya moyo kwenda mbio sana
3. Joto la mwili kuwa juu sana au mtu kuwa na Homa kali
4. Mgonjwa kuvuja Jasho sana mwilini
N.k
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
EAR
• • • • •
Source of Acute Otitis media, SYMPTOMS AND TREATMENT
Acute Otitis media, an infection that occurs in the Middle Ear, is more common in Children than adults
SOURCE OF INFECTION IN THE EAR(Acute Otitis media)
• This problem is caused by a variety of pathogens such as BACTERIA or VIRUS, although there are also a number of factors that can increase a person's risk of developing the problem such as;
✓ Allergies
✓ Flu problem
✓ Sinus infection
✓ Smoking
etc
SYMPTOMS OF INFECTION IN THE EAR(Acute Otitis media)
1. FOR CHILDREN
- A child gets severe ear pain especially when trying to sleep
- The ear produces fluid, pus or blood
- The child gets insomnia
- The baby is crying a lot
- The child gets a severe headache
- The child gets a hearing problem(loss of hearing)
- Body temperature rises or Fever
- Loss of body balance
- Lack of appetite
- The child gets severe neck pain
- The baby feels the ear swell and become heavy
- Child vomiting and diarrhea
etc
2. FOR ADULTS
- Getting severe ear pain
- Leaking ear fluid, pus or Blood
- Getting hearing loss
etc
TREATMENT FOR THIS PROBLEM(Acute Otitis media)
- treatment for this problem involves a variety of medications such as; An antibiotic, painkillers, etc.,
According to the source, it is best for the patient to go to the hospital and get a thorough examination before starting treatment
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT CONTACT US On Whatsapp +255758286584.
STRESS
• • • • •
JINSI YA KUONDOA AU KUJIKINGA NA MSONGO WA MAWAZO
1. Kula na kunywa vyakula unavyovipenda sana ili kuboresha afya yako,japo viwe na virutubisho vyote katika kiwango kinachohitajika mwilini, na visiwe vyenye madhara mwilini kama vile vyakula vya mafuta mengi n.k.
Watu wengine hujaribu kupunguza mfadhaiko au msongo wa mawazo kwa kunywa pombe au kula sana. Vitendo hivi vinaweza kuonekana kusaidia kwa wakati huo tu, lakini kwa kweli vinaweza kuongeza mfadhaiko au msongo wa mawazo mwishowe.
Caffeine pia inaweza kuongeza athari za mfadhaiko au msongo wa mawazo. Kutumia lishe bora na yenye usawa inaweza kusaidia kupambana na mfadhaiko au msongo wa mawazo.
2. Fanya mazoezi mara kwa mara. Mbali na kuwa na faida za kiafya, mazoezi yameonyesha kuwa dawa ya kupunguza msongo wa mawazo.
Anza kufanya mazoezi yakawaida yasiyokuwa na ushindani mkubwa lakini yenye uimarishaji mwilini, Mazoezi husaidia mwili kutoa endorphins-vitu vya asili ambavyo vinakusaidia kuondoa stress na Maumivu.
3. Acha kutumia tumbaku na nikotini. Watu ambao hutumia nikotini mara nyingi huita kama dawa ya kupunguza msongo wa mawazo, lakini nikotini kweli huongeza msongo wa mawazo zaidi mwilini kwa kuongeza msisimko wa mwili na kupunguza mtiririko wa damu na kupumua.
4. Jifunze kufanya kazi na kutenga muda wa kupumzika. Kupata muda wa kupumzika kila siku husaidia kudhibiti msongo wa mawazo na kulinda mwili kutokana na athari za mfadhaiko.
Unaweza kuchagua kutoka kurefresh mind, kwenda kupumzika mahali, kwenda kupiga picha, kuwa na marifiki wa kujenga na sio kubomoa
Lakini pia hivi sasa Kuna programu nyingi za mtandaoni na mahiri zinazotoa mwongozo juu ya mbinu hizi za jinsi ya kuondoa msongo wa mawazo,pendelea kujifunza humo; ingawa zingine zinajumuisha gharama flani ila nyingi zinapatikana bila malipo.
5. Punguza au jaribu kuepuka sana vitu vinavyokuletea msongo wa mawazo mfano baadhi ya mahusiano N.k. Ikiwa wewe ni kama watu wengine, maisha yako yanaweza kujazwa na mahitaji mengi na wakati mdogo sana. Kwa sehemu kubwa, mahitaji haya ndio ambayo tumechagua. Unaweza kuweka vipaumbele, kujipa kazi, na kuweka wakati au muda maalum wa kujifunza.
6. Chunguza nini kipo ndani yako na uishi kulingana nacho. Jinsi vitendo vyako vinavyoonyesha imani yako, ndivyo utahisi vizuri, bila kujali maisha yako yana shughuli nyingi. Tumia kile kilichopo ndani yako wakati wa kuchagua shughuli za kufanya.
7. Jithibitishe. Na jifunze kusema "Hapana" kwa baadhi ya mambo. Si lazima kila mara uwe na matarajio ya wengine.
8. Weka malengo na matarajio halisi. Ni sawa-na afya-kutambua kuwa huwezi kufanikiwa kwa 100% kwa kila kitu mara moja. Jihadhari na mambo ambayo huwezi kuyadhibiti na ufanyie kazi pamoja na kukubali vitu ambavyo unaweza kuvidhibiti.
9. Kujitathimini mwenyewe na jikumbushe kile unachofanya vizuri zaidi na kuona furaha wakati wa kukitenda,uendelee nacho zaidi.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
HEALTH TIPS
• • • •
The causes of Sneezing and its Benefits
In one way or another sneezing can be one of the body's mechanism of removing dirt or anything that tries to get into the airways,
although there are various factors that contribute to Sneezing.
THE CAUSES OF SNEEZING INCLUDE;
- Allergy problem with certain substances such as soap, oil, perfume etc.
- The problem of influenza virus attacks such as; RHINOVIRUS infection etc.
- Ingestion of foreign substances such as Dust, Pepper etc. which cause irritation in the nose
- Someone suddenly stops using drugs such as; Opioid narcotics
- Nose spray Corticosteroids
- Inhale very cold air
- And very rarely an injury in the nose
etc
TREATMENT
If sneezing has always been a problem, it is important to avoid things that can cause it,
And you could talk to a health professionals for further assistance.
REMEMBER; Sneezing has benefits for the body, but it can also be a disease that can require treatment
•Read: FLUE-symptoms and Side effects
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT CONTACT US ON WHATSAPP +255758286584.
FLU
• • • •
FLU-symptoms and side effects
The flu problem happens to everyone, although there are some people this problem has been a permanent condition that leads to other side effects such as;
- Severe headache
- Body temperature rises or fever
- Body tremors or chills
- A person lacks appetite
- Someone sweats profusely
- Body very tired/fatique
etc
IF YOU SEE THESE SYMPTOMS BELOW YOU MUST MEET HEALTH PROFESSIONALS FOR TREATMENT
• Shortness of breath
• severe chest pain
• Acute dizziness
• Body tremors or seizures
• Body weakness and muscle weakness
• Get all the symptoms of dehydration such as dry skin, etc.
•Read: The Causes of premature ejaculation and Treatment
FOR MORE ADVICE, EDUCATION OR TREATMENT CONTACT US On whatsapp +255758286584.