TANZIA;kifo cha Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Maji Mzee Eng. Mbogo Futakamba

TANZIA;kifo cha Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Maji Mzee Eng. Mbogo Futakamba

#1

TANZIA;kifo cha Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Maji Mzee Eng. Mbogo Futakamba

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametoa taarifa ya msiba wa aliyekuwa mwenyekiti wa BODI YA MAJI YA TAIFA na Katibu Mkuu Mstaafu wa Wizara ya Maji Mzee Eng. Mbogo Futakamba asubuhi ya leo.
Ni msiba mkubwa na pigo zito kwa familia ya sekta ya Maji.

“Tutamkumbuka kama mdau muhimu sana ambae ameendelea kuitumia sekta yetu hata baada ya kustaafu kwake.
Nitoe pole kwa wana Sekta ya Maji, Familia, Ndugu, Jamaa, Marafiki na wote walioguswa na msiba huu” amesema Jumaa Aweso

Via:Global Publishers

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code