Dkt. Delilah ateuliwa Mkurugenzi wa Muhimbili akichukua nafasi ya Prof Janabi
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Delilah Charles Kimambo kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili,
akichukua nafasi ya Prof.Mohamed Yakub Janabi aliyechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika.
REPLY HAPA
image quote pre code