Kitovu Cha Mtoto kikidondokea sehemu za siri – kinaathiri nguvu za kiume? Hii si kweli kabisa (ni imani tu). Kitaalamu: Kitovu ni mabaki ya kamba ya uzazi (umbilical cord) Hakihusiani kwa namna yoyote na ukuaji wa uume, korodani au homoni za kiume Nguvu…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKITOVU cha mtoto mchanga hakikauki,Kinatoa Usaha,Damu,Sababu ni nini? Zipo dalili mbali mbali huweza kujitokeza kwenye Kitovu cha Mtoto wako,Ukiona Dalili hizi,hakikisha Mtoto anapata Msaada, Dalili hizi ni hatarishi sio nzuri wake: Kitovu kinatoa usaha wenye…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKuvimba kwa Uume wa Mtoto kwa Mbele sababu ni ipi? Kuvimba kwa ngozi ya mbele ya uume (govi) kwa mtoto mara nyingi husababishwa na mambo haya: 1. Maambukizi (Balanitis au Balanoposthitis) Hii ni kuvimba kwa kichwa cha uume na govi kunakosababishwa na maamb…
MAKALA ZA HIVI PUNDEN yama za puani kwa Watoto,chanzo,dalili na Tiba Tatizo la nyama za puani ni tatizo ambalo huweza kuwapata watoto pia, hali ambayo husababisha mtoto kupata shida mbali mbali ikiwemo ya Kupumua. Dalili za Nyama za puani kwa Watoto Ikiwa Mtoto wako ana shida ya…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKwanini Malaria hushambulia Zaidi Watoto,hasa walio chini ya Miaka 5? Malaria hushambulia zaidi watoto , hasa walio chini ya miaka 5, kwa sababu hizi kuu: 1. Kinga yao bado haijakomaa Watoto wadogo hawajapata kinga ya kutosha dhidi ya vimelea vya malaria (…
MAKALA ZA HIVI PUNDESababu za Mtoto kutokaza shingo,Shingo kulegea hizi hapa Hapa chini nimekuletea sababu kuu zinazoweza kumfanya mtoto asikaze shingo (neck control kuchelewa). Nitakupa pia dalili za tahadhari na muda ambao kawaida shingo inapaswa kukaza. Kawaida Mtoto Anakaza …
MAKALA ZA HIVI PUNDEUgonjwa wa amoeba (amoebiasis) kwa watoto husababishwa na kimelea kinachoitwa Entamoeba histolytica . Huathiri zaidi utumbo mpana na wakati mwingine ini. Sababu kuu za maambukizi ya Amiba kwa Watoto 1.Kunywa maji machafu au yasiyochemshwa 2.Kula chakula kisic…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMtoto kuharisha baada ya kunyonya chanzo na Tiba yake Mtoto kuharisha baada ya kunyonya inaweza kusababishwa na mambo kadhaa, na inategemea umri wake, aina ya maziwa anayonyonya (ya mama au ya kopo), na dalili nyingine anazoonyesha. Mtoto kuharisha baada ya k…
MAKALA ZA HIVI PUNDEJe, Paracetamol husababisha usonji? Mnamo Aprili, Waziri wa Afya na Huduma za Kibinadamu wa Marekani, Robert Kennedy Jr., aliahidi kuanzisha mpango mkubwa wa uchunguzi na utafiti wa kisayansi kwa lengo la kubaini chanzo cha ugonjwa wa usonji ndani ya kipindi…
MAKALA ZA HIVI PUNDEDalili za Ugonjwa wa Surua kwa Watoto pamoja na Chanzo chake Ugonjwa huu husababishwa na virusi wa Surua wanaojulikana kama Paramyxovirus na hushambulia mfumo wa kinga ya mwili wa mtoto. Dalili za surua (measles) kwa watoto huanza taratibu na kisha huongeze…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMtoto kujisaidia choo kigumu chanzo nini? Fahamu hapa Mtoto kujisaidia choo kigumu (yaani kupata choo kwa shida au choo kuwa kigumu sana) ni tatizo la kawaida sana kwa watoto, hasa wa umri wa miezi hadi miaka 5. Hali hii mara nyingi husababisha maumivu, kutok…
MAKALA ZA HIVI PUNDETatizo la mgongo wazi,kwa watoto Chanzo,dalili na Tiba yake Tatizo la mgongo wazi(Spinal bifida) ni hali ambayo mtoto anazaliwa nayo huku Sehemu ya uti wa mgongo ikiwa wazi kutokana na mifupa au vipingili vya uti wa mgongo kutokufunga vizuri. Uti wa mgongo hu…
MAKALA ZA HIVI PUNDEDalili ya nimonia kwa mtoto,Fahamu hapa Ugonjwa wa nimonia kwa watoto husababishwa na nini? Soma mpaka mwisho makala hii Dalili za nimonia kwa mtoto, Fahamu hapa Nimonia(Pneumonia) ni maambukizi ya mapafu ambayo husababishwa na virusi au bakteria, Vijidudu h…
MAKALA ZA HIVI PUNDEUgonjwa wa nimonia kwa watoto husababishwa na nini? Dalili za nimonia kwa mtoto, Fahamu hapa Nimonia(Pneumonia) ni maambukizi ya mapafu ambayo husababishwa na virusi au bakteria, Vijidudu hivi hufanya vifuko vya hewa kwenye mapafu kujazwa na majimaji (kohozi…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMeno ya Mtoto kuwa na nafasi au kuachana Hali ya Meno ya Mtoto mchanga kuachana au kuwa na Nafasi wakati yanaota ni hali ambayo kitaalam hujulikana kama diastema, Hivo basi, diastema ni pengo au nafasi kati ya meno yoyote mawili, lakini hali hii ni kawaida z…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMtoto Mchanga Kukosa Choo,Sababu Au Chanzo Kama huoni mtoto wako akijisaidia kabsa,hiki ndyo chanzo cha Mtoto mchanga kukosa choo. Chanzo cha tatizo la Mtoto mchanga Kukosa Choo na Tiba Yake Baada ya mtoto kuzaliwa huanza kunyonya maziwa ya mama yake, na baa…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKuchelewa kwa Hatua za Ukuaji kwa Mtoto: Sababu, Dalili, na Namna ya Kushughulikia Ukuaji wa mtoto ni mchakato muhimu unaojumuisha hatua mbalimbali za kimwili, kiakili, kijamii, na kihisia. Watoto wengi hufuata hatua hizi za ukuaji kwa muda unaotarajiwa, laki…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMtoto kuharisha choo cha kijani,chanzo na tiba KUHARISHA KINYESI CHA KIJANI KWA WATOTO: SABABU NA SULUHISHO Kuharisha kinyesi cha rangi ya kijani ni hali inayowakumba watoto wadogo mara kwa mara, hasa katika kipindi cha awali cha maisha yao. Hali hii inaweza …
MAKALA ZA HIVI PUNDEUgonjwa wa Surua kwa Watoto: Sababu, Dalili, Matibabu na Kinga Ugonjwa wa Surua ni ugonjwa wa kuambukiza sana kwa watoto wadogo, na ni sababu kubwa ya vifo miongoni mwa watoto wachanga. Ugonjwa huu husababishwa na virusi wa Surua wanaojulikana kama Paramyxovi…
MAKALA ZA HIVI PUNDEDalili za Ugonjwa wa Surua,chanzo na Tiba yake UGONJWA WA SURUA(MEASLES),CHANZO,DALILI NA MATIBABU YAKE Ugonjwa huu huhusisha Mfumo wa hewa na husababishwa na virusi aina ya Paramyxovirus na pia uenezwaji wa virusi hawa ni kwa njia ya mtu kupumua, kupiga chaf…
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin