Kasongo Asimamishwa kazi,Steven Mnguto naye kujiuzulu

Kasongo Asimamishwa kazi,Steven Mnguto naye kujiuzulu

#1

Kasongo Asimamishwa kazi,Steven Mnguto naye kujiuzulu



Kupitia taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeelezwa kuwa Rais wa TFF Wallace Karia amemsimamisha kazi Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Almasi Kasongo.

Sambamba na hilo, Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi TPLB, Steven Mnguto naye amewasilisha barua rasmi ya kujiuzulu nafasi yake, huku TFF ikipokea uamuzi huo.

Taarifa hiyo imetolewa leo Juni 13, 2025 na Katibu Mkuu wa TFF, CPSP (T) Kidao Wilfred.

REPLY HAPA


image quote pre code