Rais wa Marekani, Donald Trump amesema amepata wa kuinunua kampuni ya TikTok

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema amepata wa kuinunua kampuni ya TikTok

#1

NEWS: Kwenye Jukwaa la Teknolojia leo hii tuna habari kuhusu kampuni ya Tiktok.



Rais wa Marekani, Donald Trump amesema amepata wa kuinunua kampuni ya TikTok.

Kauli hiyo inakuja wakati ambapo kampuni ya ByteDance ya China inakabiliwa na shinikizo la kuiuza TikTok kwa Marekani, vinginevyo itazuiwa kutumika nchini humo.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code
مشاركة: