Hivi Ukiambiwa Dawa hii kunywa Asubuh na jion maana yake,ni muda gani wa kutumia?
Swali kutoka kwa Mdau wa Afyaclass anasema anahitaji Ufafanuzi..
...See more
Hivi Ukiambiwa Dawa hii kunywa Asubuh na jion maana yake,ni muda gani wa kutumia?
Swali kutoka kwa Mdau wa Afyaclass anasema anahitaji Ufafanuzi..
Muda Sahihi wa kutumia Dawa ni kama ifuatavyo;
ReplyDelete1.Ukiambiwa Kutwa mara 3
Ni kila baada ya Saa 8 unatumia dawa
2.Kutwa mara 2 ni kila baada ya Saa 12 unatumia dawa
3. Na kutwa mara 1 unatumia kila baada ya Saa 24.
Post a Comment
Related Discussions...