Rais wa Marekani Donald Trump amesema atachukua hatua za kisheria dhidi ya BBC kufuatia jinsi hotuba yake ilivyohaririwa na kipindi cha Panorama, baada ya shirika hilo kuomba msamaha lakini kukataa kumlipa fidia. Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya Ai…
MAKALA ZA HIVI PUNDERais Donald Trump wa Marekani ametia saini mswada wa ufadhili wa kufungua tena shughuli za serikali ya Marekani na kumaliza mkwamo ambao umeshuhudiwa kwa muda mrefu zaidi katika historia ya nchi hiyo. "Nchi haijawahi kuwa katika hali nzuri zaidi," r…
MAKALA ZA HIVI PUNDEIdara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa mwongozo unaopendekeza kwamba watu wanene kupita kiasi wanyimwe visa vya Uhamiaji ya kuingia Marekani. Agizo hilo, ambalo ni sehemu ya hatua kadhaa zilizowekwa na utawala wa Trump ili kuimarisha vikwazo vya kusafiri kw…
MAKALA ZA HIVI PUNDERais wa Marekani Donald Trump ametangaza kwamba kila Mmarekani atapokea angalau $2,000 kutoka kwenye mapato ya ushuru wa Marekani. Katika chapisho kwenye Truth Social, Trump alibainisha kuwa malipo hayo yatakuwa kwa wote isipokuwa "watu wenye kipato cha …
MAKALA ZA HIVI PUNDERais wa Marekani, Donald Trump amemchimba mkwara meya mpya (Mteule) wa New York, Zohran Mamdani kwamba anapaswa kuwa na heshima kwa Washington, kwa sababu asipofanya hivyo, hana nafasi ya kufanikiwa. Akirejea hotuba ya Mamdani ya kukubali ushindi kama Meya wa…
MAKALA ZA HIVI PUNDERais Donald Trump amegunduliwa kuwa na tatizo la chronic venous insufficiency baada ya vipimo vya mishipa kufanywa ili kutathmini uvimbe kwenye miguu yake, Ikulu ya White House ilitangaza Alhamisi. Chronic venous insufficiency ni hali ambapo vali katika m…
MAKALA ZA HIVI PUNDERais wa Marekani Donald Trump ametangaza mpango wa kuandaa pambano la UFC katika viwanja vya Ikulu ya White House kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 250 ya uhuru wa Marekani mwaka ujao. Akizungumza katika tamasha la “America 250” lililofanyika kwenye viwanja…
MAKALA ZA HIVI PUNDENEWS : Kwenye Jukwaa la Teknolojia leo hii tuna habari kuhusu kampuni ya Tiktok. Rais wa Marekani, Donald Trump amesema amepata wa kuinunua kampuni ya TikTok. Kauli hiyo inakuja wakati ambapo kampuni ya ByteDance ya China inakabiliwa na shinikizo la kuiuza T…
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin