Rais wa Marekani, Donald Trump amesema amepata wa kuinunua kampuni ya TikTok

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema amepata wa kuinunua kampuni ya TikTok

#1

NEWS: Kwenye Jukwaa la Teknolojia leo hii tuna habari kuhusu kampuni ya Tiktok.



Rais wa Marekani, Donald Trump amesema amepata wa kuinunua kampuni ya TikTok.

Kauli hiyo inakuja wakati ambapo kampuni ya ByteDance ya China inakabiliwa na shinikizo la kuiuza TikTok kwa Marekani, vinginevyo itazuiwa kutumika nchini humo.

if you want to request theme or script please, Read Here!
Please Disable the AdBlock or add our website in Whitelist to Support NiaDZGN
Read Here! NiaDZGN Terms and Rules

image quote pre code