Takribani watu 2,000 wamekufa kwa kipindupindu Congo tangu Januari - UNICEF

Maelezo ya picha ,Mchimbaji madini akiwekewa dripu katika kituo cha matibabu ya kipindupindu kinachoendeshwa na Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) kufuatia mlipuko wa kipindupindu ambao umeelemea m…

Duru ya kampeni ya dharura ya chanjo ya polio yaanza huko Gaza

Chanjo Gaza: WHO, UNICEF na UNRWA waanza uchanjaji zaidi ya watoto 44,000 Mashirika ya Umoja wa Mataifa WHO, UNICEF na UNRWA wameanzisha kampeni ya pamoja ya Uchanjaji watoto waliokosa huduma mu…

Dhana Potofu kuhusu kunyonyesha,Wiki ya Unyonyeshaji

Takwimu za hivi karibuni za shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, zinakadiria kuwa unyonyeshaji usio wa kutosha husababisha asilimia 16 ya vifo vya watoto kila mwaka. Shirika…

Watoto wengi zaidi kufa kwa Utapiamlo na ukimbizi Sudan kuliko hata vita yenyewe: UNICEF

Watoto wengi zaidi kufa kwa Utapiamlo na ukimbizi Sudan kuliko hata vita yenyewe: UNICEF Vita nchini Sudan ikitimu siku 300 hii leo, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF lina…

Wakimbizi wa rohingya 5,000 wakiwemo watoto 3,500 kupoteza makazi yao baada ya moto mkubwa kuwaka kwenye kambi yao

W akimbizi wa rohingya 5,000 wakiwemo watoto 3,500 kupoteza makazi yao baada ya moto mkubwa kuwaka kwenye kamb i yao. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limesikitishwa na ki…

Load More Posts That is All