Afyaclass CHANGAMOTO WANAZOPITIA WANAWAKE

 Impower the women,Wanawake wanapitia changamoto nyingi sana katika safar ya maisha,Lakini pia mwanamke ni kiwanda cha kufwatua matofali"watu".

.

Mwanamke anapojifungua anahitaji faraja sana kutokana na safar ndefu aliyoipitia katika kipind chake cha ujauzito

.

Mwingine kabeba ujauzito wiki 37,mwingine 38,mwingine 42, na hata mwingine huambiwa kabeba ujauzito mpaka mda wa kujifungua umepita bado yupo na kiumbe tumboni

.

Hongera kwa ujasiri huu mwanamke

#mwanamke 

#ushindi

#ombenimkumbwa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
My blog is in the process of editing and perfecting the new template, so there are still some functions to click but not yet used. Note which blogs associated with your side please read this lesson to update the blog logo.
UNDERSTOOD