Afyaclass VITU VINAVYOMKOSESHA FURAHA MWANAMKE

 Moja ya vitu ambavyo vinaweza kukukosesha furaha kama mwanamke ni kuumwa.

.

Leo nazungumzia tabia ambayo inaweza kukuletea ugonjwa wa FANGASI.

.

Kuvaa nguo ya ndani ambayo haijakauka vizuri

.

Kuvaa nguo au mavazi yanayoleta joto sana sehemu za siri kwa muda mrefu kama nguo za kuogelea (swimwear), nguo za ndani (chupi) zilizotengenezwa kwa kitambaa aina ya nylon, nguo za ndani zinazobana sana

.

Kwa kuongezea Mojawapo ya Dalili ya fangasi ambayo unaweza kuipata ni MIWASHO sehem za siri pamoja na kutokwa na uchafu wenye harufu pamoja na rangi kama maziwa

.

Epuka Tabia hii ili kuwa,salama

#fangasi 

#ombenimkumbwa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
My blog is in the process of editing and perfecting the new template, so there are still some functions to click but not yet used. Note which blogs associated with your side please read this lesson to update the blog logo.
UNDERSTOOD