Afyaclass HALI YA SASA YA MAAMBUKIZI YA VVU DUNIANI

VVU/UKIMWI

.

👉Mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2019 watu wapatao million 40 wanaishi na VVU


👉Kwa mwaka 2019 pekee kumekua na maambukizi mapya ya VVU yapatayo million 2 


👉Kwa mwaka 2019 pekee watu wapatao 900000  wenye VVU walipoteza maisha


👉Watu wapatao milioni 25 wenye VVU mpaka kufikia mwishoni wa mwezi juni 2020 wanatumia dawa za ARV


👉Watu wapatao milioni 100 wameambukizwa VVU toka ugonjwa huu utambulike rasmi mnamo mwaka 1981


👉Watu wapatao milioni 40 wenye VVU wamepoteza maisha toka ugonjwa huu utambulike rasmi mnamo mwaka 1981


👉Kila wiki wanawake  5500 wenye umri kati ya miaka 15-25 hupata maambukizi mapya ya VVU


KWA TANZANIA


👉Watu wapatao 200 hupata maambukizi mapya ya VVU kila siku


👉Watu 8 hupata maambukizi ya VVU kila saa


Hii ni kwa mujibu wa TACAIDS na UNAIDS 2020


TUCHUKUE TAHADHARI. BAKI NJIA KUU,NYAMA NI ILE ILE ..

#doktamathew


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!





You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
My blog is in the process of editing and perfecting the new template, so there are still some functions to click but not yet used. Note which blogs associated with your side please read this lesson to update the blog logo.
UNDERSTOOD