Afyaclass MABADILIKO KIPINDI CHA UJAUZITO

 MABADILIKO KIPINDI CHA UJAUZITO🌀✔⛔.

Mambo mengi sana hubadilika mwanamke akiwa mjamzito tofauti na hapo mwanzo kabla ya ujauzito.

.

Baadhi ya Mambo hayo ni kama ulaji wake, jinsi ya kulala, mabadiliko katika mfumo wa hewa, mabadiliko ya vichocheo mwilini ambavyo huweza kusababisha mambo mengi mfano;

.

Kusikia kichefuchefu na kutapika,kupatwa na kiungulia(heartburn), kupenda harufu ya vitu flani flani,kuchukia baadhi ya vitu,

.

Mwanamke kukosa period yake,mabadiliko katika mfumo wa ngozi, mabadiliko katika mfumo wa mkojo(kukojoa kojoa mara kwa mara),na hata mabadiliko katika mzunguko wake wa Damu.

@Cha msingi MWANAMKE anatakiwa kuyatambua mabadiliko hayo na kujua jinsi ya kupambana na changamoto ambazo anaweza kuzipata kipindi cha ujauzito

#linah #ujauzitonijambolakheri #mabadiliko

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Forum Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Forum ASANTE.
UNDERSTOOD