Afyaclass Bongo Social YAI LA MWANAMKE NA MBEGU YA MWANAUME

 Yai la mwanamke(ovum) linapotoka kwenye vifuko vyake(ovaries) ambapo kitendo hicho kitaalam huitwa "OVULATION" na kuingia kwenye mirija ya uzazi yaani Fallopian tubes,Ndipo huanza kukutana na mbegu za kiume(Sperms) na hatua ya kwanza ya kutengeneza mtoto huanzia hapo(FERTILIZATION).

Siku ambapo yai linatoka kwenye vifuko vyake,ndyo tunaita SIKU YA HATARI-Tukiwa na maana kwamba ni siku ambayo mwanamke anaweza kupata MIMBA.

JE UNAZIJUA SIKU ZA HATARI KWAKO?

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD