Afyaclass UJUE UZITO SAHIHI WA BEGI LA SHULE AMBALO MTOTO ANATAKIWA KUBEBESHWA

UZITO SAHIHI WA BEGI LA SHULE AMBALO MTOTO ANATAKIWA KUBEBESHWA

• • • • • •

Begi la vitabu vya mtoto mdogo wa shule halitakiwi kuwa zito kuzidi 10-20% ya uzito wa mtoto mwenyewe ili kulinda afya na umbo la uti wa mgongo.Watoto wengi hubebeshwa mabegi mazito sana ambayo husababisha “Back pain syndrome”,tatizo linalomfanya mtoto apate kibiongo,maumivu ya mara kwa mara ya kichwa,shingo na mgongo

(📝Credits: @afyabongo )

.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!





You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Forum Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Forum ASANTE.
UNDERSTOOD