UMUHIMU WA KOMAMANGA KIAFYA KWA WANAUME

UMUHIMU WA KOMAMANGA KIAFYA KWA WANAUME

#1

KOMAMANGA

• • • • • •

Tafiti zinaonesha kwamba tunda hili huimarisha ubora wa mbegu (Sperm quality) , Huongeza hamu ya tendo (Sex drive) na pia huongeza kiwango cha hormone ya Testosterone ambayo ni homoni muhimu sana kwa afya ya uzazi wa Mwanaume .

.

.

Kuna moja ya tafiti ilionesha kwamba , Panya waliopewa juice ya Komamanga kila siku kwa miezi kama miwili hivi waliweza ongezeka ubora wa mbegu zao , ukianzia wingi wa mbegu , afya na hata uwezo wa mbegu kutembea

.

.

Mjulishe mwanaume mmoja tu kuhusu tunda hili

.

.


________________________

Tufollow kupata dondoo za Afya

 

Via@afya_solution 


👏We care we Share




REPLY HAPA


image quote pre code