Afyaclass USHAURI KWA WATU WENYE MATATIZO YA GOUT(gauti)

 GOUT

• • • • •

USHAURI KWA WATU WENYE MATATIZO YA GOUT(gauti)


Moja ya vitu ambavyo huongeza ukubwa wa tatizo la Gauti ni pamoja na;


- Matumizi ya pombe kupita kiasi


- Kula nyama nyekundu na kwa kiasi kikubwa


- Matumizi ya dawa au kemikali zozote ambazo huweza kuongeza kiwango cha uric acid kwenye damu


USHAURI KWA WATU WENYE MATATIZO YA GOUT(gauti)


• Epuka matumizi ya pombe kupita kiasi


• Epuka matumizi ya nyama nyekundu au kula nyama kwa wingi kama vile; nyama ya mbuzi N.K


• Pendelea kunywa kiwango kikubwa cha maji kila siku


• Epuka matumizi ya dawa au kemikali yoyote ambayo inahusiana na kuongeza kiwango cha Uric acid kwenye damu


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Forum Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Forum ASANTE.
UNDERSTOOD