Afyaclass CHANZO CHA TATIZO LA MWANAMKE KUTOKWA NA UCHAFU MWEUPE WAKATI WA KUFANYA MAPENZI

 MWANAMKE

• • • • • •

CHANZO CHA TATIZO LA MWANAMKE KUTOKWA NA UCHAFU MWEUPE WAKATI WA KUFANYA MAPENZI


Tatizo hili la kutokwa na uchafu mweupe na mzito kama maziwa ya mgando huwapata baadhi ya Wanawake wakati wa kufanya mapenzi na baada ya kufanya mapenzi.


Chanzo cha tatizo hili ni nini?


CHANZO CHA TATIZO LA MWANAMKE KUTOKWA NA UCHAFU MWEUPE WAKATI WA KUFANYA MAPENZI


Zipo sababu mbali mbaki ambazo huhusishwa na tatizo hili kama vile;


- Maambukizi ya magonjwa mbali mbali kama vile; Ugonjwa wa Fangasi sehemu za siri,


- wakati mwingine hupatwa na hali ya kutoa maji maji ambayo yanaharufu mbaya,ambapo hii huashiria pia maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke


- Lakini pia mabadiliko ya gafla ya hali ya ukeni, kutokana na mashambulizi ya magonjwa ya zinaa


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




You, Mehreen and others

Notification
My blog is in the process of editing and perfecting the new template, so there are still some functions to click but not yet used. Note which blogs associated with your side please read this lesson to update the blog logo.
UNDERSTOOD