CHANZO CHA TATIZO LA MAUMIVU YA TUMBO

CHANZO CHA TATIZO LA MAUMIVU YA TUMBO

#1

MAUMIVU YA TUMBO

• • • • •

CHANZO CHA TATIZO LA MAUMIVU YA TUMBO


Hizi hapa ni Baadhi ya Sababu ambazo zinaweza kuchangia maumivu ya Tumbo;


- Ugonjwa wa haja kubwa maarufu kama Irritable bowel syndrome (IBS)


 - Ugonjwa wa kuvimba utumbo mpana maarufu kama Crohn au colitis


- Maumivu ya Tumbo wakati wa hedhi


- Kula Viambata vya Sumu kutoka kwenye chakula flani


 - Tatizo la Allergy au Mzio juu ya aina flani ya chakula


 - Tatizo la tumbo kujaa Gesi


 - Maambukizi ya njia ya mkojo au UTI


- Shida ya misuli ya tumbo kuvuta


•Soma: dalili za Minyoo ya Ascariasis pamoja na Tiba yake


 - Unaweza pia kupata maumivu ya tumbo ikiwa una tatizo la kukosa uvumilivu wa lactose mwilini


- au una tatizo la vidonda vya tumbo 


- Ugonjwa wa maambukizi ya Bacteria kwenye via vya uzazi yaani PID


 Sababu zingine ni pamoja na:


 ✓ Kuwa na tatizo la Hernia


 ✓ Kuwa na tatizo la Mawe kwenye figo yaani Kidney stones


✓ Tatizo la uvimbe kwenye kuta za ndani ya mji wa mimba yaani Endometriosis


✓ Kuwa na gastroesophageal  reflux disease  (GERD)


 ✓ Kuwa na tatizo la kuvimba kidole tumbo au appendix


✓ Kuwa na tatizo la Diverticulitis


 ✓ Kuwa na tatizo la Uvimbe kwenye mshipa mkubwa wa ateri  tumboni yaani Aneurysm


 ✓ Tatizo la kuziba utumbo


✓ Saratani ya tumbo, kongosho, ini, mfereji wa nyongo, kifuko cha nyongo, au seli za kinga ya mwili


 ✓ Saratani ya ovary au tatizo la uvimbe kwenye vifuko vya mayai yaani ovarian cysts


✓ Pancreatitis (kuvimba kwa kongosho)


✓ Cholecystitis (kuvimba kwa kifuko cha nyongo)


 ✓ Mtiririko mdogo wa damu kwenye utumbo wako unaosababishwa na mishipa ya damu kuziba


 ✓ Tatizo la mimba kutunga Nje ya kizazi yaani Ectopic pregnancy


N.K


•Soma: dalili za Minyoo ya Ascariasis pamoja na Tiba yake


•Soma: Matibabu ya Ugonjwa wa Rheumatoid Arthritis



KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.




Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code