Kwa Mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO); Afya yako inategemea Vitu
hivi

Kwa Mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO); Afya yako inategemea Vitu hivi

#1

 

Kwa Mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO); Afya yako inategemea Vitu hivi;

–  Mazingira Mazuri ya kufanya kazi

– Kuwa Huru na Ubaguzi

– Elimu

– Mazingira Salama na yenye afya

– Kula Vizuri au kula chakula chenye afya(Healthly diet)

– Makazi mazuri au yenye Ubora

– Kupata huduma bora za Afya

– Kuwa na maji Safi na Salama ya kunywa

– Kuwa na hewa Safi n.k

WHO inasema; Afya imejumuishwa kama haki ya binadamu katika katiba za nchi 140, lakini bado mabilioni ya watu wananyimwa haki hii ya kimsingi kiutendaji. Ni wakati wa kuchukua hatua ili kuziba pengo hili.

#AfyaKwaWote #AfyaYanguHakiYangu

Credits; WHO

Photos Source: WHO

Editor,Reviewer: @afyaclass

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code