Leo ni Siku ya Idadi ya Watu Duniani

Leo ni Siku ya Idadi ya Watu Duniani

#1

Leo ni Siku ya Idadi ya Watu Duniani, kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni: “Kuwawezesha vijana kuunda familia wanazotaka katika dunia yenye haki na matumaini. Unadhani ni njia zipi bora za kuwawezesha kauli mbiu hiyo kutimia?

Inakadiriwa kuwa idadi ya watu ulimwenguni mwaka huu wa 2025 ni zaidi ya bilioni 8.1.



Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code
مشاركة: