Dkt. Mwigulu Nchemba Awakilisha Tanzania Mkutano wa AfDB Congo

Dkt. Mwigulu Nchemba Awakilisha Tanzania Mkutano wa AfDB Congo Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili mjini Brazzaville, nchini Jamhuri ya Kongo kushiriki Mkutano wa 61 wa Mwak…

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesajili na kutambua Watu 1,145,334

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesajili na kutambua Watu 1,145,334 wenye umri wa miaka 18 na kuendelea katika kipindi cha Ju…

Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasili rasmi mjini Beijing nchini China kwa ziara Maalum

Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasili rasmi mjini Beijing nchini China kwa ziara Maalum Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasili rasmi mjini Beijing nchini China kwa ziara yenye uzito mkubw…

Rais Vladimir Putin amesema vita kati ya Urusi na Ukraine vinaelekea kufikia mwisho

Urusi na Ukraine Zinakaribia Mwisho wa Vita? Putin Azungumza Wakati wa Sitisho la Mapigano Rais Vladimir Putin amesema vita kati ya Urusi na Ukraine vinaelekea kufikia mwisho, huku siku ya kwan…

Ziara ya Rais Samia katika Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam Leo Mei 9

Ziara ya Rais Samia katika Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam Leo Mei 9 Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya ziara maalum katika Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam Leo Mei 9, am…

King Charles III Amtumia Pope Leo XIV Ujumbe wa Pongezi

King Charles III Amtumia Pope Leo XIV Ujumbe wa Pongezi Mfalme wa Uingereza Charles III ametuma ujumbe maalum wa pongezi kwa Pope Leo XIV katika maadhimisho ya mwaka mmoja tangu kuchaguliwa kwa…

Vita ya Marekani na Iran Yatangazwa Kumalizika, Lakini Tahadhari Bado Ipo

Vita ya Marekani na Iran Yatangazwa Kumalizika, Lakini Tahadhari Bado Ipo Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza rasmi kuwa mzozo wa kijeshi kati ya taifa lake na Iran umefikia mwisho, akis…

Kondomu kupanda Bei duniani kwa 30% kufuatia vita vya Marekani,Israeli na Iran

Mtengenezaji mkubwa zaidi wa kondomu duniani, Karex Bhd, ametangaza mipango ya kuongeza bei kwa kati ya asilimia 20 na 30, akitoa mfano wa usumbufu unaoendelea wa mnyororo wa usambazaji unaohus…

Tanzania yashinda kwenye tuzo za Utalii Duniani

Tanzania imeendelea kushikilia nafasi yake ya kimataifa kama “Nchi Inayoongoza Duniani kwa Utalii wa Safari” katika Hafla ya Fainali za World Travell Awads 2025. Tanzania imeendelea kushikilia n…

Bei Mpya za Mafuta Mwezi Disemba, 2025 zatangazwa na EWURA

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupungua kwa bei za mafuta nchini, hatua inayotokana na kushuka kwa gharama za uagizaji mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam…

Papa Leo alisema ni kashfa kwamba Wakristo bilioni 2.6 duniani hawana umoja thabiti

Katika sherehe za maadhimisho ya miaka 1,700 ya baraza kuu la Kanisa lenye makasisi wakuu kutoka nchi zikiwemo Uturuki, Misri, Syria na Israel, zilizoandaliwa mjini Iznik ambao awali ulijulikana…

Waziri Mahmoud Thabit Kombo akutana na Mabalozi wa nchi mbali mbali

Waziri Mahmoud Thabit Kombo akutana na Mabalozi wa nchi mbali mbali Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo leo katika kikao na Waandishi wa Habari…

Rais aagiza kuhamishwa kwa polisi wanaolinda watu mashuhuri Nigeria

Rais wa Nigeria ameagiza kuhamishwa kwa maafisa wa polisi wanaolinda watu mashuhuri hadi sehemu zingine kukabiliana na tatizo la usalama nchini humo. Rais Bola Ahmed Tinubu ameamuru kuhamishwa k…

Breaking:Ukraine kupata ndege 100 za kivita za Rafale zilizotengenezwa Ufaransa

Kikosi cha anga cha Ufaransa Rafale F4 kinaruka juu ya Bahari ya Baltiki kama sehemu ya misheni ya doria ya NATO Ukraine itapata hadi ndege 100 za kivita za Rafale F4 za Ufaransa pamoja na mifum…

Rais wa Marekani Donald Trump amesema atachukua hatua za kisheria dhidi ya BBC kufuatia jinsi hotuba yake ilivyohaririwa

Rais wa Marekani Donald Trump amesema atachukua hatua za kisheria dhidi ya BBC kufuatia jinsi hotuba yake ilivyohaririwa na kipindi cha Panorama, baada ya shirika hilo kuomba msamaha lakini kuka…

Trump atia saini mswada wa ufadhili wa kufungua tena shughuli za serikali ya Marekani

Rais Donald Trump wa Marekani ametia saini mswada wa ufadhili wa kufungua tena shughuli za serikali ya Marekani na kumaliza mkwamo ambao umeshuhudiwa kwa muda mrefu zaidi katika historia ya nchi…

Msichana apata bahati ya Mama Ida Odinga kumtunza

Msichana apata bahati ya Mama Ida Odinga kumtunza Msichana huyo mrembo sana alisafiri hadi Opoda Farm kuomboleza msiba wa shujaa wake(Raila Odinga),kukutana na mwanamke ambaye jina lake ni Min …

Urusi kufanya jaribio la kombora lenye uwezo wa nyuklia

Urusi kufanya jaribio la kombora lenye uwezo wa nyuklia Hatua hiyo ilikosolewa vikali na rais wa Marekani Donald Trump aliyemtaka Putin kumaliza  vita vya Ukraine : "Sidhani kama ni busara …

Zaidi ya watu milioni 21 wahitaji msaada wa kibinadamu Kongo

Zaidi ya watu milioni 21 wanahitaji msaada wa kibinadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,Haya ni kwa mujibu wa shirika la Oxfam nchini Ufaransa. Shirika hilo limesema Kongo inakabiliwa n…

Israel yazindua Satelaiti mpya ya kijasusi

Israel yazindua Satelaiti mpya ya kijasusi Israel imesema imefanikiwa kurusha satelaiti mpya ya kijasusi angani, hatua ambayo itaimarisha kwa kiwango kikubwa uwezo wake wa upelelezi katika eneno…

Load More Posts That is All