Jesca Magufuli ateuliwa Mgombea Ubunge Viti Maalum Vijana(UVCCM)

Jesca Magufuli ateuliwa Mgombea Ubunge Viti Maalum Vijana(UVCCM)

#1

Jesca Magufuli ateuliwa Mgombea Ubunge Viti Maalum Vijana(UVCCM)

Chama cha Mapinduzi kimewateua Jesca Magufuli kuwa Mgombea Ubunge viti maalum Vijana (UVCCM).



Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Amos Makalla amesema hayo leo August 23,2025 wakati akitangaza maamuzi ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code
مشاركة: