Kenya: Wanafunzi wahitimisha masomo ya elimu ya msingi katika mfumo wa 8-4-4
Kabla ya kukamilika kwa Alhamisi hii, wanafunzi zaidi ya milioni moja nukta mbili nchini kenya watakuwa wameshapata matokeo yao ya mtihani wa kitaifa wa darasa la nane unaofahamika kwa kiingerez…