Showing posts with label Anthony Albanese. Show all posts
Showing posts with label Anthony Albanese. Show all posts

Anthony Albanese,Waziri Mkuu wa kwanza aliye madarakani katika historia ya Australia kufunga ndoaAfyaclass Forum •

Waziri Mkuu wa Australia Anthony Albanese amefunga ndoa rasmi na mwenzi wake, Jodie Haydon — akiwa Waziri Mkuu wa kwanza aliye madarakani katika historia ya nchi hiyo kufunga ndoa wakiwa ofisini.

Wawili hao walikula kiapo Jumamosi alasiri ndani ya The Lodge, makazi yake rasmi huko Canberra, siku moja tu baada ya bunge kukamilisha kikao chake cha mwisho cha mwaka huo, BBC iliripoti.

Harusi hiyo ilifichwa kwa sababu za kiusalama, huku wanafamilia wa karibu na mawaziri wakuu pekee wakihudhuria. Wazazi wa Jodie Haydon, pamoja na mtoto wa kiume wa Albanese, Nathan, walikuwepo kushuhudia sherehe hiyo.

0 Comment
Notification
My blog is in the process of editing and perfecting the new template, so there are still some functions to click but not yet used. Note which blogs associated with your side please read this lesson to update the blog logo.
UNDERSTOOD