Mjasiriamali na bilionea wa teknolojia Elon Musk ameandika historia mpya baada ya kuwa mtu wa kwanza duniani kufikia utajiri wa dola za Marekani bilioni 600 sawa na Quadrilion 1.4, kulingana na takwimu za Forbes. Hatua hiyo imechangiwa kwa kiasi kikubwa na ka…
MAKALA ZA HIVI PUNDEElon Musk anaweza kuwa trillionaire wa kwanza duniani huku wanahisa wa Tesla wakiidhinisha kifurushi chake cha malipo cha dola trilioni 1 ili kuboresha chapa hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla na mtu tajiri zaidi duniani alishinda kura ya wanahisa Alhamisi, …
MAKALA ZA HIVI PUNDEElon Musk anaweza kujiuzulu kama Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla ikiwa kifurushi chake cha malipo cha dola trilioni 1 hakitaidhinishwa, kulingana na onyo la hivi karibuni kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tesla Robyn Denholm. Rufaa ya dharura ilitumwa katika baru…
MAKALA ZA HIVI PUNDEUtajiri wa Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla na SpaceX, Elon Musk, umepungua kwa kiasi cha dola bilioni 15 kwa siku ya leo pekee baada ya hisa za kampuni ya Tesla kuporomoka kwa karibu asilimia 7 na kushuka kwa takriban dola 21. Kulingana na Bloomberg Billionaires…
MAKALA ZA HIVI PUNDEBilionea na mkurugenzi wa kampuni ya Tesla na X (zamani Twitter), Elon Musk, ametangaza kuanzisha chama kipya cha siasa kinachoitwa America Party akisema lengo lake ni kurudisha uhuru kwa wananchi wa Marekani ambapo hatua hii ikiwa ni ya kujibu hali ya kisia…
MAKALA ZA HIVI PUNDERais wa Marekani Donald Trump ametishia kusitisha mabilioni ya dola ya ruzuku zinazotolewa kwa kampuni za Tesla na SpaceX zinazomilikiwa na bilionea Elon Musk kufuatia mvutano unaoendelea kati yao ambapo hii ni baada ya Musk kukosoa vikali mswada mpya wa kodi…
MAKALA ZA HIVI PUNDETelepathy: Chipu ya ubongo ambayo Elon Musk anadai aliiweka ndani ya mwanadamu inaleta mashaka gani? Kampuni ya Musk haiko peke yake katika kinyang’anyiro cha chipu za ubongo zisizotumia waya. Je, siku inakaribia ambapo wanadamu wataweza kudhibiti kompyuta kw…
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin