Showing posts with label Maji ya Uzazi. Show all posts
Showing posts with label Maji ya Uzazi. Show all posts

Mtoto Kunywa Maji Wakati Wa KujifunguaAfyaclass Forum •

 MTOTO KUNYWA MAJI WAKATI WA KUJIFUNGUA

MADHARA YA MTOTO KUNYWA MAJI YA UCHUNGU AU UZAZI

Moja ya ishara ya tatizo hili ni mtoto kutokulia baada ya kuzaliwa

Baada ya mtoto kunywa maji ya uchungu au uzazi wakati wa kuzaliwa huweza kupata madhara mbali mbali kama vile;

1. Kuziba kwa njia ya hewa ambayo huweza kusababisha tatizo la upungufu wa oxygen kwenye ubongo

2. Kuwa na matatizo ya ubongo

3. Kuwa na tatizo la upumuaji

4. Kuwa na tatizo la mapafu

5. Maambukizi ya magonjwa mbali mbali hasa baada ya mtoto kunywa maji ya uzazi ambayo yamechanganyika na kinyesi kwa kitaalam hujulikana kama meconium

6. Kupatwa na tatizo la kukakamaa mwili

7. Kulegea viungo mbali mbali vya mwili

8. Kuwa na tatizo la kuharisha

9. Kuwa na tatizo la kutapika

10. Mtoto kupatwa na tatizo la Pneumonia

N.k

Soma zaidi hapa.!!

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



 
0 Comment
Notification
My blog is in the process of editing and perfecting the new template, so there are still some functions to click but not yet used. Note which blogs associated with your side please read this lesson to update the blog logo.
UNDERSTOOD