Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa kuhusu kuongezeka kwa viwango vya joto katika maeneo mbalimbali nchini, hususan katika maeneo yanayopata misimu miwili ya mvua kwa mwaka. Ongezeko hilo limetokana na kusogea kwa Jua la Utosi pamoja na upun…
MAKALA ZA HIVI PUNDETMA yatoa tahadhari ya hali Mbaya ya Hewa kwa siku 5 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya hali mbaya ya hewa kwa siku tano zijazo, kuanzia leo Jumatatu, Oktoba 27, 2025. Aidha katika taarifa yake kwa umma imeonya wakazi wa mikoa kadhaa y…
MAKALA ZA HIVI PUNDEEl-Nino kupungua nguvu msimu wa mvua za masika,TMA Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema hali ya El – Nino inayoendelea katika Bahari ya Pasifiki itapungua nguvu katika msimu wa mvua za masika zinazotarajiwa kuanza wiki ijayo. Msimu wa mvua za masik…
MAKALA ZA HIVI PUNDETMA:vipindi vya mvua kubwa vinaweza kujitokeza Kaimu Mkurugenzi wa TMA, Dk Ladislaus Chang’a (kushoto) akitoa taarifa ya uchambuzi wa mwenendo wa mifumo ya hali ya hewa na mwelekeo wa msimu wa mvua za Masika katika kipindi cha Machi hadi Mei, 2024. Kwa mujibu…
MAKALA ZA HIVI PUNDETahadhari ya Mvua kubwa kwa Siku Tano Mfululizo-TMA Kama unaishi mikoa ya Morogoro, Lindi, Iringa, Mtwara, Mbeya, Songwe, Njombe na Ruvuma, basi kaa mguu sawa kwani Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kuhusu uwepo wa hali mbaya ya hewa kwa…
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin