Showing posts with label Wabunge Walioteuliwa kugombea Ubunge. Show all posts
Showing posts with label Wabunge Walioteuliwa kugombea Ubunge. Show all posts

Orodha ya Wabunge Walioteuliwa kugombea Ubunge na Majimbo yao,Makonda,Baba Levo ndaniAfyaclass Forum •

Orodha ya Wabunge Walioteuliwa kugombea Ubunge na Majimbo yao,Makonda,Baba Levo ndani

-Paul Makonda

Chama cha Mapinduzi kimemteua Paul Makonda kuwa Mgombea wa Ubunge kupitia CCM katika Jimbo la Arusha Mjini.

Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Amos Makalla amesema hayo leo August 23,2025 wakati akitangaza maamuzi ya Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.


Baba Levo:Kugombea Kigoma Mjini

Chama cha Mapinduzi kimemteua Clayton Revocatus Chipando (Baba Levo) kuwa Mgombea wa Ubunge kupitia CCM katika Jimbo la Kigoma Mjini.

Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Amos Makalla amesema hayo leo August 23,2025 wakati akitangaza maamuzi ya Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.

0 Comment
Notification
My blog is in the process of editing and perfecting the new template, so there are still some functions to click but not yet used. Note which blogs associated with your side please read this lesson to update the blog logo.
UNDERSTOOD