TMA yatoa tahadhari ya hali Mbaya ya Hewa kwa siku 5 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya hali mbaya ya hewa kwa siku tano zijazo, kuanzia leo Jumatatu, Oktoba 27, 2025. Aidha katika taarifa yake kwa umma imeonya wakazi wa mikoa kadhaa y…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMadhara na uhamishwaji wa watu umeripotiwa kwenye mikoa ya Urusi iliyo karibu na kitovu cha tetemeko hilo katika Rasi ya Kamchatka. Tetemeko hilo ni kubwa kabisa kuwahi kulipiga eneo hilo tangu mwaka 1952, kwa mujibu wa Mamlaka ya Jiolojia ya Urusi. Tsunami i…
MAKALA ZA HIVI PUNDEKulingana na ripoti mpya iliyotolewa na Huduma ya Mabadiliko ya Tabia nchi ya Muungano wa Ulaya ya Copernicus, wastani wa hali joto duniani umekuwa juu ya nyuzi joto 1.5 za Selsiasi kwa miezi 12 mfululizo jambo ambalo si la kawaida na mara ya mwisho kushuhud…
MAKALA ZA HIVI PUNDETMA yataja chanzo cha mvua zinazonyesha kwa Sasa,baadhi ya maeneo Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema, mvua zinazoendelea kunyesha tangu jana katika baadhi ya mikoa nchini zimetokana na kuongezeka kwa joto la bahari magharimbi mwa Bahari ya Hindi k…
MAKALA ZA HIVI PUNDEMahujaji 14 wa Hajj kufariki dunia kisa joto kali Takriban raia 14 wa Jordan wamefariki dunia wakati wa ibada ya Hijja nchini Saudi Arabia kutokana na joto kali, maafisa wamesema. Wizara ya mambo ya nje ya Jordan ilisema raia wake 14 wamefariki “baada ya kupi…
MAKALA ZA HIVI PUNDEZaidi ya watu 50 wamefariki dunia India kwa siku tatu zilizopita kutokana na hali ya joto kali Zaidi ya watu 50 wamefariki dunia nchini India katika muda wa siku tatu zilizopita huku hali ya joto kali ikiendelea kukumba sehemu za nchi hiyo. Takriban watu 33 w…
MAKALA ZA HIVI PUNDEEl Niño yapelekea ongezeko la viwango vya njaa na utapiamlo Malawi #PICHA:Majaribio ya upandaji maharagwe yanayostahimili ukame nchini Malawi. (Maktaba) Takriban watu milioni tisa nchini Malawi wanakumbwa na athari mbaya za mafuriko na ukame unaosababishwa na…
MAKALA ZA HIVI PUNDE#PICHA:Wafanyakazi wa Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya wakiwa katika harakati za uokoaji kufuatia mafuriko. MAMLAKA nchini Kenya zimesema kuwa idadi ya watu waliofariki kufuatia mafuriko imeongezeka hadi kufikia watu 228. Tangu siku ya Jumamosi, watu …
MAKALA ZA HIVI PUNDE
Social Plugin