WHO,Fedha za dharura zatengwa kwa ajili ya waathirika wa kimbunga Sri Lanka
Shirika la Afya Duniani (WHO) leo limetoa dola 175,000 kama mfuko wa dharura kwa ajili ya Colombo, Sri Lanka, kufuatia kimbunga kilichosababisha hali mbaya zinazohatarisha maisha nchini humo. Fe…