Showing posts with label tuzo ya Klabu bora ya mwaka ya CAF 2023. Show all posts
Showing posts with label tuzo ya Klabu bora ya mwaka ya CAF 2023. Show all posts

New! Timu ya Yanga SC imefanikiwa kuingia tano boraAfyaclass Forum •

Timu ya Yanga SC imefanikiwa kuingia tano bora katika kipengele cha kuwania tuzo ya Klabu bora ya mwaka ya CAF 2023.

Timu nyingine zilizofanikiwa kuingia tano bora ni USM Alger ya Algeria, Al Ahly ya Misri, Wydad Casablanca ya Morocco na Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini.

Sherehe ya utoaji wa tuzo hizo itafanyika December 11, 2023 Jijini Marrakesh nchini Morocco.

New! Timu ya Yanga SC imefanikiwa kuingia tano bora
0 Comment
Notification
My blog is in the process of editing and perfecting the new template, so there are still some functions to click but not yet used. Note which blogs associated with your side please read this lesson to update the blog logo.
UNDERSTOOD