Afyaclass Bongo Social KUZAA WATOTO WATATU KWA MARA MOJA(TRIPLETS)

 KUZAA WATOTO WATATU KWA MARA MOJA(TRIPLETS).


Watu wengi hawafaham kwamba ukizaa watoto watatu hawaitwi TWINS bali kitaalam huitwa TRIPLETS.


Watoto hawa huzaliwa watatu,japo kwa asilimia kubwa watu wamezoea kuzaa watoto Mapacha ambao ni Wawili.


Mama akiwa mjamzito(MULTIPLE PREGANCY)    watoto hawa huanza kuonekana kwa kipimo cha ULTRASOUND,....

Ambapo kwa kutumia Ultrasound tutajua idadi ya watoto waliopo katika tumbo la mama.

JAPO VIPO VIASHIRIA MBALIMBALI AMBAVYO VINAWEZA KUONEKANA KWA NJE KAMA MAMA KUWA NA TUMBO KUBWA KULIKO KAWAIDA N.K


Je unapenda watoto mapacha?,Je unapenda TRIPLETS?


KWA MAONI KUHUSU UNACHOPENDA KUFAHAM ZAIDI KUHUSU AFYA YAKO MWANAMKE AU MTOTO,USISITE NIANDIKIE KWENYE COMMENT HAPO CHINI ILI TWENDE SAWA...


KUMBUKA;Jukumu langu ni kukuelemisha,kukushauri na kukupa msaada wa kiafya paleinapohitajika...!!!!! karibu

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD