TATIZO LA MIMBA ZA UTOTONI

TATIZO LA MIMBA ZA UTOTONI

#1

 Mimba za Utotoni(Teenage Pregnancy). Kwa Tanzania tunaweza tukasema ukipata mimba chini ya Miaka 18 upo kwenye kundi hili la mimba za utotoni.

.

Point yangu ni kwamba,mimba za utotoni zina madhara kila kona katika maisha ya mhusika,Lakini pia jamii yake.

.

Madhara ni pamoja na mtoto kufukuzwa shule, kupoteza Dira ya maisha, Lakini pia kupatwa na madhara makubwa ya kiafya kama kujifungua kwa Upasuaji,Kupoteza maisha wakati wa kujifungua n.k.

.

Takwimu zinaonyesha kuwa asilimia kubwa ya wanawake waliopata mimba au ujauzito katika umri mdogo hujifungua kwa UPASUAJI.

.

Maisha ya kuwa mama Yanahitaji maandalizi, Swala la Mimba za utotoni huchangiwa na sababu nyingi,ikiwemo hali ya kiuchumi,vishawishi, Mambo ya mila pia kama swala la NDOA ZA UTOTONI.

@Naomba utambue mimba za utotoni huharibu maisha ya mwanamke,

#mimbazautotoni 

#ombenimkumbwa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code