Afyaclass Bongo Social TATIZO LA MIMBA ZA UTOTONI

 Mimba za Utotoni(Teenage Pregnancy). Kwa Tanzania tunaweza tukasema ukipata mimba chini ya Miaka 18 upo kwenye kundi hili la mimba za utotoni.

.

Point yangu ni kwamba,mimba za utotoni zina madhara kila kona katika maisha ya mhusika,Lakini pia jamii yake.

.

Madhara ni pamoja na mtoto kufukuzwa shule, kupoteza Dira ya maisha, Lakini pia kupatwa na madhara makubwa ya kiafya kama kujifungua kwa Upasuaji,Kupoteza maisha wakati wa kujifungua n.k.

.

Takwimu zinaonyesha kuwa asilimia kubwa ya wanawake waliopata mimba au ujauzito katika umri mdogo hujifungua kwa UPASUAJI.

.

Maisha ya kuwa mama Yanahitaji maandalizi, Swala la Mimba za utotoni huchangiwa na sababu nyingi,ikiwemo hali ya kiuchumi,vishawishi, Mambo ya mila pia kama swala la NDOA ZA UTOTONI.

@Naomba utambue mimba za utotoni huharibu maisha ya mwanamke,

#mimbazautotoni 

#ombenimkumbwa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD