JE WAJUA PEMBA SIO NZURI?
SOMA HAPA..!!!
Kuna madhara mengi ambayo huweza kumpata mama mjamzito kwa kula Udongo maarufu kama PEMBA. Hebu tuone kwanza nini kinapatikana kwenye udongo huu ambao mama wengi wakiwa wajawazito hupendelea kula.
Chuo kikuu cha Afya na Sayansi BUGANDO wakishirikiana pamoja na Wenzetu kutoka CANADA na MAREKANI walifanya utafiti katika Mikoa 12 Ya Tanzania ambayo ni;
- RUVUMA
- TANGA
- KILIMANJARO
- KIGOMA
- MOROGORO
- MARA
- KUSINI PEMBA
- MBEYA
- DODOMA
- LINDI
- RUKWA
- SINGIDA
- Aluminium
- Nickel
- Cadmium
- Arsenic
- Pamoja na madini ya Risasi au Lead










image quote pre code