UGONJWA WA KICHOCHO HUSABABISHWA NA NINI?
Huu ni ugonjwa ambao husababishwa na vimelea ambao kwa kitaalam hujulikana kama aina ya SCHISTOSOMA.
MTU HUAMBUKIZWAJE?
Ugonjwa huu huambikizwa kupitia maji yenye vimelea hivi vya SCHISTOSOMA vinapopenya kwenye Ngozi ya mtu.
DALILI ZA UGONJWA WA KICHOCHO
- Kupata maumivu makali ya Tumbo
- Kujisaidia kinyesi chepesi kilichochanganyika na Damu
- Kukojoa Damu wakati wa haja ndogo
- Kupatwa na hali ya kikihozi
- Kupata Homa
- Kuanza kuwashwa sana na Ngozi
- Pamoja na mwili kuchoka kupita kiasi
- kipimo cha Damu
- Kipimo cha Mkojo
- Kupigwa X-ray ya tumbo
- Au kupigwa Ultrasound ya Tumbo










image quote pre code