Afyaclass Bongo Social Nane(8) wafa kwa kula Samaki aina ya Kasa Pemba

Nane(8) wafa kwa kula Samaki aina ya Kasa Pemba.

Watu nane kutoka Familia sita tofauti wamefariki dunia na wengine 34 wanapatiwa matibabu Hospitali Kisiwa Panza, Mkoa wa kusini Pemba Visiwani Zanzibar baada ya kula samaki aina ya kasa jana.

Watu hao baada ya kula kasa walianza kuumwa tumbo, kulegea mwili, kutapika na kuharisha .

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mattar Zahor amesema sampuli za vikohozi na damu zimepelekwa kwa Mkemia Mkuu ili kutambua kilichosababisha vifo hivyo.

You, Mehreen and others

WEKA MAONI HAPA(Reply)

Notification
Karibu Afyaclass Bongo Social Jukwaa linalojadili mambo mbali mbali ikiwemo afya,Magonjwa na Updates Zote,Tembelea hapa kila Siku,Pia Share Maoni yako kwenye jukwaa hili Afyaclass Bongo Social ASANTE.
UNDERSTOOD