TANZIA:Boaz Sanga,Mwanachuo St. Augustine (SAUT) afariki kwa kuzama Ziwa Viktoria

#1

TANZIA:Boaz Sanga,Mwanachuo St. Augustine (SAUT) afariki kwa kuzama Ziwa Viktoria.

Mwanachuo wa mwaka wa kwanza wa Chuo cha St. Augustine (SAUT), Mwanza, Boaz Sanga amefariki dunia baada ya kuzama wakati akiogelea kwenye Ziwa Viktoria, tukio lililotokea jana, Mei 1, 2024.

Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mwanza, SF Kamila Laban, amesema kijana huyo alifikwa na mauti katika eneo la Sweya alikokuwa anaogelea na wenzake baada ya kuingia kwenye eneo lenye kina kirefu.

SACF Kamila amesema baada ya Zimamoto kufika eneo la tukio zoezi la kumtafuta liliendelea hadi usiku bila mafanikio na leo Mei 02, 2024 wamefanikiwa kuupata mwili wake pembezoni mwa mawe ziwani hapo.

Consultation ya Afya Moja kwa Moja

Mimi ni Dr. Ombeni Mkumbwa. Nakupa ushauri wa kitaalamu kuhusu tatizo lolote la kiafya kwa siri, haraka na uhakika.

WhatsApp

Changia Mada hapa(Reply)


image quote pre code