Head

✍️Author: Dr. Ombeni
🛡️Review: AfyaClass

Uhaba wa maji safi na Salama kuchangia kuongezeka kwa milipuko ya kipindupindu

Uhaba wa maji safi na salama na umaskini watajwa kuchangia kuongezeka kwa milipuko ya kipindupindu mwaka jana. 

Taarifa Mpya: Kwa Mujibu wa Takwimu za shirika la Afya Duniani(WHO)

Migogoro, mabadiliko ya tabianchi, uhaba wa maji safi na salama, umaskini,na watu kuhama makazi yao kutokana na kuibuka na kuzuka upya kwa migogoro na majanga ya asili - yote yalichangia kuongezeka kwa milipuko ya kipindupindu mwaka jana.

Rejea Link;

https://x.com/WHO/status/1831367936394645756?t=SXCeowMmpo6lBy5yiWV6Tg&s=19

#Reply

#5Replies
🔥 CHAT NASI
Dr. Ombeni Dr. Ombeni
Je, una changamoto yoyote ya Kiafya? Kwa Ushauri & Tiba tuwasiliane. Call (Kawaida) au SMS (WhatsApp): +255 758 286 584