Diogo Jota amefariki dunia kwa Ajali

Diogo Jota amefariki dunia kwa Ajali

#1

MADRID, Hispania: MSHAMBULIAJI wa mabingwa wa Ligi Kuu England, Diogo Jota amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali ya gari akiwa na umri wa miaka 28.



Idara ya Ulinzi wa Kiraia ya Hispania imesema pia ndugu wa Jota, Andre Silva amefariki katika ajali hiyo iliyotokea katika Valladolid uliopo Jimbo la Zamora.

Mshambuliaji wa Liverpool, Diogo Jota, amefariki dunia katika ajali ya gari akiwa na umri wa miaka 28.

Jota alifunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu, Rute Cardoso, ambaye wana watoto watatu pamoja, mwezi uliopita tu.

Ndugu yake, Andre Silva, ambaye ni mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ureno, pia alifariki katika ajali hiyo ambayo ilitokea katika jimbo la Zamora, nchini Hispania.

Silva, mwenye umri wa miaka 26, alikuwa pia mchezaji wa kandanda wa kulipwa katika klabu ya daraja la pili ya Ureno, Penafiel.

Related Discussions

REPLY HAPA


image quote pre code