Cr7 Avunja Ukimya Kuhusu Kutohudhuria Mazishi Ya Diogo Jota

kumeibuka mjadala mkubwa kuhusu kutokuwepo kwa Cristiano Ronaldo kwenye mazishi ya Mchezaji mwenzake wa Timu ya Taifa ya Ureno, Diogo Jota, aliyefariki Dunia pamoja na kaka yake, André Silva, ka…

Wachezaji kandanda Diogo Jota na André Silva Wapewa heshima zao za mwisho

Wachezaji kandanda Diogo Jota na André Silva wamepewa heshima zao za mwisho na familia zao, marafiki na wachezaji wenzao kwenye mazishi ya pamoja nchini Ureno. Jota, 28, alizikwa pamoja na kaka …

Klabu ya Liverpool imeamua kuilipa mshahara familia ya Diogo Jota

Klabu ya Liverpool imeamua kuupa heshima mkataba wa Diogo Jota kwani itaendelea kuilipa mshahara familia yake katika kipindi kilichobaki cha mkataba huo. Lakini pia klabu hiyo itaanzisha hazina …

Ukimya wa Dakika 1 kwenye Mechi kumuenzi Diogo Jota

#MICHEZO: UEFA imeidhinisha ombi lililotolewa na FA ya Ureno kuhusu kuwepo na dakika 1 ya ukimya kwenye mechi ya timu ya Taifa ya Ureno dhidi ya Uhispania katika mchezo wa Euro 2025 kwa Wanawake…

Diogo Jota amefariki dunia kwa Ajali

MADRID, Hispania: MSHAMBULIAJI wa mabingwa wa Ligi Kuu England, Diogo Jota amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali ya gari akiwa na umri wa miaka 28. Idara ya Ulinzi wa Kiraia ya Hispa…

Load More Posts That is All