Kwanini Unazaa Wakati wewe ni Maskini-Zari Hassan

Kwanini Unazaa Wakati wewe ni Maskini-Zari Hassan

#1

Kwanini Unazaa Wakati wewe ni Maskini-Zari Hassan



Kupitia instastory ya Zari the boss lady alijirekodi video na kuongea maneno haya''bado watu maskini wanazaa? Kwa nini mnaendelea kufungua miguu wakati mko kwenye umasikini halafu mnashika mimba?Mbona uzazi wa mpango siku hizi ni bure?
Amehoji Mama wa watoto watano na mfanya biashara na ni mtu mashuhuli -Zari the boss lady

Haya wanawake zari ajibiwe ni nini sababu?

Related Discussions

REPLY HAPA


image quote pre code